Leo Ijumaa, Agosti 7 nitazungumzia siasa zinazoendelea nchini channel 10 saa 4 usiku, karibuni

Bwana Polepole...
Nilikaa mkabala na TV yangu kwa shauku kubwa sana kukusikiliza, nilidhani ya kwamba utakuwa mchambuzi kweli kweli na utakaa katikati. Nashukuru kwamba umekuwa mwanadamu na leo umesimamia upande wako.. vyema sana kwa sababu ungeweza leo kukaa katikati na ukasema kama mchambuzi na mjuzi wa mambo ningezidi kukuamini na kufuatilia kila unachosema..
Nashukuru kwa kufahamu kuwa "after all you are still a human being who love and hate emotionally and physically".
Naendelea kushukuru kwamba sasa hivi nikikuona kwenye TV sitachanganyikiwa kama awali kutaka kujua unazungumza nini.

Mimi tangu uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi kura yangu ni kwa upinzani huwa sipati hata tabu ya kuwasikiliza makenge kama hao ndio nipige kura, mimi kura yangu haiyumbi ni ya UKAWA inasubili kutumbikizwa kwenye ballot tu ihesabiwe.
 
Ni ajabu sana. Kwa hiyo matatizo ya Tanzania yametokana na Lowasa? Huo wizi wa Lowasa mbona hauwekwi wazi? Mnasema mchafu mchafuhuo uchafu hamuudhibitishi!

mkuu mimi si shabiki wa EL ila ningependa kuungana nawe kuuliza swali hilo maana huwa wanageneralise tu ila sijawahi kumwona mtu akitoa details A,B,C kuhusu ufisadi wa EL,why?hebu naomba leo fungukeni kuhusu EL hapa na muwe tayari kujibu maswali tutakayowaulizeni.Haya moja...mbili...
 
hamphrey ameongea kinafiki sanaaaa ,bora angesema anaenda kuongea kma mchambuz wa chama na si siasa,,,,nilikua namfatilia sana huyu ila naapa sijui kama ntakuja kumsikiliza kwa chochote atakachoongea huyu bwana.....ameshajipambanua kua yeye ni kada kindakindaki wa ccm hafai kusikilizwa tena huyu

Tatizo lenu mnataka aongee mnachotaka nyie... Huo ni Uzuzu kulazimisha Fikra zenu kuwa ndio sahihi kushinda za wengine
 
Kuwa mzalendo mpaka upangishie nyumba serikali unataka useme alijipangishia nyumba serikali kwa bei kubwa wewe kenge October utakuwa kwenye msafara wa mamba na magamba yako

Chekecha hilo Bichwa... We ulitaka aongee unavyovitaka kila siku!!! Hatujapewa vichwa tufugie nywele
 
Humphrey Polepole,

..Magufuli ana tuhuma za kuuza nyumba ya serikali nchi nzima kwa bei ya hasara.

..kuna wanaomtetea kwamba ni uamuzi wa baraza la mawaziri. lakini tatizo linakuja kwamba hata yeye mwenyewe alijiuzia nyumba hizo na baadhi tunaambiwa aliuza kwa ndugu zake.

..sasa hebu tuambie huyu unaanza vipi kumsafisha? wewe kama mwana-ccm umemkubali mgombea huyu? je, kama mwana-ccm una moral authority ya kumnyooshea kidole Lowassa ambaye amesema richmond ilikuwa amri ya mamlaka ya juu yake, na hakuna mahali popote ilipobainika kwamba Lowassa amefaidika binafsi na richmond?
Mkuu aliyenunuwa nyumba nyingi kwa bei ya hasara ni Lowassa kazipangisha Masaki kwa foreigners.alifanya lobbying kwa kutumia nafasi yake ya kisiasa.
 
Last edited by a moderator:
kwa hiyo bwana polepole ile heshima na reputation yote uliyojijengea tangu kuanza kwa kampeni ya kutetea katiba ya wananchi leo umeizika kwa hizo dakika chache ulizoongea hapo channel ten?!!

mbona watu hamjui thamani ya maisha yenu na umuhimu wa kujenga ligacy jaman?!! Yaan kuanzia leo tiyari umeshajiingiza kwenye kundi la Sita. Alifanya kazi nzur akiwa Spika baadaye ghafla ccm wakamfix akabadilisha mwelekeo badala ya kutetea wananchi akaanza kutetea mfumo ovu wa ccm. Leo hii sita, ambaye alipigiwa chapua, si na wanaccm tu bali wananchi wote, la uwezekano wa kuwa Rais leo hata udiwani kuupata itakuwa tabu.

Harakaharaka wewe reputation yako imejengwa juu ya "uliokuwa" (kwani leo haupo tena) utetezi wako wa rasimu ya katiba ya warioba ambayo siyo tu kwamba imepingwa na ccm bali imetupwa kabisa. Kwa hiyo dogo leo hii wewe umekuja kutuaminisha kuwa tukitaka kupata Katiba ya wananchi basi ni heri tuibakishe ccm madarakani kuliko kuwapa UKAWA?!!

Hiviii, Hata kama Lowassa angekuwa fisadi kweli, kwa hiyo wewe sasa unatuaminisha huo ufisadi wa Lowassa mmoja ni mkubwa kuliko wa ccm yote? huko CCM kuna mafisadi mangapi mbona hao huwasemi? Malalamiko yanayotolewa na wanaccm dhidi ya mfumo wa kifisadi na rushwa, katika uchaguzi, wa ccm mbona husemi? chama kizima kinanuka rushwa, na hata wanaccm wanapaza sauti kuhusu hilo, wewe unajifanya husikii unamgeukia tu lowassa? Kwa hiyo wewe kwa porojo zako hizo ndo unaona utamzuia Lowassa kwenda ikulu??!! umetumwa???...kakojoe ulale dogo.

Kwa hiyo kwa Lowassa kutoka ccm ufisadi sasa umeisha ccm na umehamia ukawa?

Kwa hiyo ccm sasa si fisadi tena?

Kwa hiyo, kwa mtizamo wako wewe harakaharaka, Lowassa kutoka ccm na kwenda ukawa, inamaanisha ccm haipingi tena Katiba ya wananchi ila "Umoja wa Katiba ya Wananchi" ndiyo sasa unaopinga "Katiba ya Wananchi"??????!!!!!...

hivi unataka kumfix nani hapa wewe dogo??!!!!

Kumbe kupiga kelele koooooote kule kumbe na wewe ni wa mfumo ule ule mchafu?!!!!

Kiukweli idara ya usalama na upepelezi ya cdm na ukawa mna kazi sana ya kuwachunguza hawa watu kabla hatujawaamini. Mtu kama huyu harakaharaka ulikuwa ukimsikiliza unashawishika kabisa kuamini yupo upande wa wananchi kumbe ni wale wale wezi.

Kajamaa kamenipotezea usingizi wangu kamekuja hapa kutetea wezi mchana kweupe!!!!!!......mxxxuuuuh, bure kabisa.

Kajamaa Kako harakaharaka "kama cha kwanza"
 
Chekecha hilo Bichwa... We ulitaka aongee unavyovitaka kila siku!!! Hatujapewa vichwa tufugie nywele

We gamba tumia akili ccm nani msafi ufisadi wa ccm ni Richmond tu kuna wa escrow nyumba za wafanyakazi epa meremeta kiwira mikataba mibovu kama lowasa fisadi kwa nini wasimfungulie mashitaka kama mramba wewe na pole pole wako tumieni akili acheni kutumika kimsingizia nyerere kwa vitu vya kijinga muwache na pole pole wako
 
Ndugu huyu alikuwa kama refa lakini sasa kageuka na kuwa mchezaji na kajiunga na timu inayotamba kuwa itashida kwa goli la mkono! Tutawaona wengi wanaojipendekeza kwa system ili yumkini wakumbukwe hata kupewa UDC. Si wengine walifanya hivyo? Kuna wakati ilikuwa ukiitukana sana Chadema unateuliwa au kupandishwa cheo.
 
Huu uzi kuanzia page ya kwanza Makamanda mmenifurahisha sana.Hali ya hewa ilianza kuchafuka baada ya kijana mzalendo Humphrey kuanza kumwaga ukweli na uwazi.hongera sana pole pole hawa NYUMBU wasikukatishe tamaa ukipata nafasi waeleze watanzania wasije kusema hawakuelezwa.
 
Umeanza kulewa sifa. Tutakushughulikia kwa kususia kuangalia vipindi vyako na hizo TV zako wanszokukaribisha. Siye tunapambana na mfumo wa hicho chama chako ccm ww bado unapambana na lowassa. Jiulize leo hii Shivji yupo wapi baada ya kuanza kutetea utumbo wa katiba ya miccm kwa kukataa serikali tatu
 
Hvi aliye weka sahihi kwenye mkataba wa richmond ni nani? Kama aliweka lowasa basi yeye ndo anapaswa kubeba msalaba maana yeye kaona mkataba mbovu na bado karidhia kuweka dole gumba lake, hakuna kiongozi hapa kama wakina,luanjo wamempeleka mjini hataweza kua mkuu wa kaya, bye bye lowasa ikulu ndo basi tena kwako

..aliyeweka saini atakuwa ni Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco.

..ulikuwa ni mkataba kati ya Tanesco na Richmond.
 
Pole pole kaongea ukweli mtupu jamaa anajua kuchambua na haogopi upande wwte hyu ni shujaa wetu vijana tusimuangushe, Alisema kipindi cha nyuma lowasa na membe wakatwe na walikatwa big up broo.
 
Pole pole kaongea ukweli mtupu jamaa anajua kuchambua na haogopi upande wwte hyu ni shujaa wetu vijana tusimuangushe, Alisema kipindi cha nyuma lowasa na membe wakatwe na walikatwa big up broo.

Mkuu ni kweli tena alisema wakipitisha mtu ambaye siye japo HP ni ccm atazungu uka wakati wa kampeni kumkata huyo mgombea
 
Amphrey ni mchumia tumbo. Fisadi ni kikwete na watu wake waliokataa kuvunja ule mkataba wa hewa wa richmond na dowans

Hizi sio ishara njema na haya ndio matunda ya ubabe wa Mbowe,sisi wanasiasa wa JF hatuwezi ng'amua kinachowarudisha nyuma Dr Slaa na Prof Lipumba ila ukweli ni kwamba huu ujio EL unakasoro ambazo lazma utakigharimu chama
 
ukawa wanahitaji madodoki ya kutosha mda huu.
ni kazi sans,sioni slaa akimpigia debe lowasa asee
 
Back
Top Bottom