Leo dereva wa bodaboda kanipa challenge

Leo dereva wa bodaboda kanipa challenge

NostradamusEstrademe

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2017
Posts
3,840
Reaction score
5,097
Alikuwa amenibeba barabara ya vumbi nikamuuliza helmet yangu wapi akanijibu
Kaka hizi kofia za abiria zinapataga mavumbi mno isitoshe ni hatari kwa COVID-19 maana zinashikwaga na wengi na kwa siku ndio maana naiacha.

Polisi fikirieni point hii legezeni sheria kwa kipindi hiki
 
Na ukipasua bichwa pindi mtakapo teleza
Unalinda nn wakati uhai upo kwenye hatari kila sehemu
 
Wangapi wamekufa wamevaa element
Inaweza kua wengi lkn walio tutengenezea bike na kweny sehem za kaz sio wajinga kusisitiza kuvaa element
Kama ujui unaweza kupondeka ukawa nyanga nyang’a lkn kama brain haijapata hitrafu uwezekano mkubwa wa kupona upo sasa wenzetu huduma za hosp na amburance zipo kwasana mtu kabla hajapoteza damu nyingi au wamemwongezea kunauwezekano mkubwa wa kupona
 
Sanitize helmet, inaokoa maisha mmezidi sasa kila kitu mnabisha.
 
Mnafikiri nimeandika utumbo hata mimi napenda uhai wangu na kwa vile hiyo njia ni kijijini naipita kila siku nikienda kazini nimenunua helment yangu natembea nayo.
Mnaosema sanitizer niwaulize je unaweza paka sanitizer masikioni?
Kumbukeni hii sio ATM machine bank unapaka sanitiser mikono mlioponda wengi humu ni wa mazingira ya kimjini akili zako na za kuambiwa changanya
 
Mnafikiri nimeandika utumbo hata mimi napenda uhai wangu na kwa vile hiyo njia ni kijijini naipita kila siku nikienda kazini nimenunua helment yangu natembea nayo.
Mnaosema sanitizer niwaulize je unaweza paka sanitizer masikioni?
Kumbukeni hii sio ATM machine bank unapaka sanitiser mikono mlioponda wengi humu ni wa mazingira ya kimjini akili zako na za kuambiwa changanya
Kwa hiyo unadhani sanitizer inapakwa mikononi tu? Kwani sanitizer maana yake nini?
Kuna sanitizing wipes au spray (very cheap) una sanitize meza, sinks vitasa vya milango etc ...















/"
 
Dereva toyo kweli kakuzidi akili na buku yako kachukua.
Dereva toyo wa hapa mtaani wanavikofia flani uvaliwa naa kina mama wakiwa wanaoga nk, kabla ya kupanda anakupa uvae kisha element, sehemu nyingine anakupa sijui hizo sanitizer upake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom