Hansy wa East
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 447
- 230
Bandugu nataka kununua laptop inaitwa lenovo sasa tatizo haina charge cjajua ina ukubwa gani bt bataka kujua kwamba hizi laptop zinaubora au ndoo vile zinasumbua 2.
Msaada tafadhali!
Msaada tafadhali!