nimeamini sasa, njaa pekeyake haitoshi kukufanya mfuasi wa CCM, unahitaji kuwa chizi pia.Mbowe alidandia bajaj ambayo ilikuwa imeandaliwa special kwa kumtorosha baada ya tukio, na Lema alikimbia akaenda kujificha mianzini kwenye bucha la nguruwe! Kuwaamini CHADEMA inabidi uwe na akili ya msukule! Ila wakarudi baada ya hali kuwa shwari kiaina!