binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 15,429
- 41,990
No sijawa mkali rafiki, nilitaka tu nijue kama ulimaanisha, na najua hukumaanisha. Hizo ni personal info za mtu hawezi zitoa kwenye comments.Ndio mkuu, Ili nitafute madiki aise, Tatizo binti kiziwi Kawa mkali ghafla kama pili pili. Ila ni vizuri kutunza siri ππππ
HNipo ndugu.
Kuwa mvumilivu watakupa majibu, huwa wanachelewa kuna muda (atleast kwa uzoefu wangu). Sijajua kwanini hizo delays huwa zinatokea, ila ni lazima watakupa majibu ya mwisho.
Yawezekana huu ni wakati mgumu kwako, jipe moyo. π€π€
CC. Dr. Wansegamila mkuu any idea, unasemaje juu ya hili? Nimekuita wewe sababu huko juu umeeleza as someone In senior positions, naamini unauzoefu wa interviews za weupe kedekede...
Mbona utafika tu,,watu wapo UNHCR wanakula 14m.Siku nikifikia huko najitoa JF, hamnipati ng'oo π
No Body No me, afu hapa nime hid information hatari unaweza kuta ata si wa Norway πKuna mambo mengine si ya ku disclose sana ,especially kama bado hayajakamilika .
Kuna masikio mengine yakishasikia neno jema tu basi, ishu zote zinakomea hapo.
All the best
Sawa mkuu.No Body No me, afu hapa nime hid information hatari unaweza kuta ata si wa Norway π
Inategemea na mwajiri ila mara nyingi 3rd interview huwa ni informal sana sio interview nzito kihivyo hapo mara nyingi utakutana na management meaning head of department utakayofanyia kazi, head of organisation japo sio lazima inategemea na posirion if ni managerial, na top top wa HR hapo kinachotafutwa ni mtu atakayefit kwao based on their culture, budget, na position yenyewe na hapo kitu kidogo sana na ambacho hata hutokijua chaweza kukukosesha kazi maana kumbuka hapo huenda mkawa mmebakia candidate wawili strong ambapo yeyote anaweza pata kazi. Al in al hapo mtegemee Mungu zaidi.Habari wakuu,
Kuna kazi niliiomba kwenye NGO ya wa Norway. Nikiri ya kwamba sijawai ona Hiring process ndefu kama ya hili shirika.
Nilikuwa shortlisted nkapiga interview ya kwanza ambayo ilikuwa phone interview na WA Norway, badae nkapita, na kuingia second interview nilifanya na ma boss kutoka Norway kupitia zoom. Nayenyewe nimepita, eti natakiwa kufanya Tena third interview Tena, kupitia Zoom.
Wakuu lengo la third interview uwa ni nini,? Je Kuna mtu ashawai pitia hizi interview anipe mwongozo.
Inategemea na mwajiri ila mara nyingi 3rd interview huwa ni informal sana sio interview nzito kihivyo hapo mara nyingi utakutana na management meaning head of department utakayofanyia kazi, head of organisation japo sio lazima inategemea na posirion if ni managerial, na top top wa HR hapo kinachotafutwa ni mtu atakayefit kwao based on their culture, budget, na position yenyewe na hapo kitu kidogo sana na ambacho hata hutokijua chaweza kukukosesha kazi maana kumbuka hapo huenda mkawa mmebakia candidate wawili strong ambapo yeyote anaweza pata kazi. Al in al hapo mtegemee Mungu zaidi.
Hiyo interview usishange ukaitwa then unapiga breakfast, au lunch na interviewers huku mazungumzo yakiwa ya kawaida sana tuπ€£Amina
Mkuu interview nilishapiga mie ilikuwa pia technical hapa nasubiri majibu siku zinaenda naona kimyaHiyo interview usishange ukaitwa then unapiga breakfast, au lunch na interviewers huku mazungumzo yakiwa ya kawaida sana tuπ€£
Niliwahi piga interview 3rd round ambapo nilikuwa na naibu balozi, head of HR, head of department niliyokuwa naenda ifanyia kazi ilikuwa ni mojawapo ya balozi za scandanavia kazi nilipata ili nilipiga chini coz of salary. Interview ilikuwa kawaida sanaaaa!
Naibu balozi alitaka tu kujua challenge ninazoanticipate kwenye hiyo kazi, akataka kujua mshahara ninaoutaka.
Basi wape wiki tatu mpaka 4 mara nyingi ndani ya huo muda au baada ya mwezi 1 watakujibuMkuu interview
Mkuu interview nilishapiga mie ilikuwa pia technical hapa nasubiri majibu siku zinaenda naona kimya
Basi noma yaani one month, Bado hawajatoaga feedback,,,nomaBasi wape wiki tatu mpaka 4 mara nyingi ndani ya huo muda au baada ya mwezi 1 watakujibu
Salary hata ubagain huwezi pata mshahara nje ya Upper Margin yao.Duu unanitia moyo thanks mkuu, mie nadhani nkamaliza ya tatu Kuna ya nne, salary hatujabagain, afu interview ilikuwa nifanye Jana kwakua hakuna internet wakaalisha hadi next week nimechukia kwakweli
Anaogopa maswali ya Cultural diversity and InclusionDogo unachukia wakati unaenda kufanya kazi na mzungu? Mshahara usije ukasema laki 3 tu π unaonekana ni freshers mwenye vyeti vizuri ila hujayajua maisha.
Third interview nahisi ni maboss unaoenda kufanya nao kaziHabari wakuu,
Kuna kazi niliiomba kwenye NGO ya wa Norway. Nikiri ya kwamba sijawai ona Hiring process ndefu kama ya hili shirika.
Nilikuwa shortlisted nkapiga interview ya kwanza ambayo ilikuwa phone interview na WA Norway, badae nkapita, na kuingia second interview nilifanya na ma boss kutoka Norway kupitia zoom. Nayenyewe nimepita, eti natakiwa kufanya Tena third interview Tena, kupitia Zoom.
Wakuu lengo la third interview uwa ni nini,? Je Kuna mtu ashawai pitia hizi interview anipe mwongozo.
Asante sana, ni zaidi ya mwaka umepita sasa tangu utoe huu ushauri na wakati nasoma sikupuuza niliweka kwenye kumbukumbu zangu na leo mwaka 2025 nimetumia hizi mbinu na nimepata kazi kwenye kampuni ipo USA. Hakika nimeweza kuwagaragaza wahindi na wanaijeria kwa kutumia mbinu hii maana kwenye technical skills na kujieleza sio kama ni bora zaidi ya hao candidates wengine ila ni Mungu na hizi mbinu za kivita π. Ubarikiwe sanaKwanza hongera sana.
Pili, kwa kawaida wanatakiwa wawe wamekuambia kuwa hii interview ya awamu hii ni nani atakufanyia, kwa mfano labda the decision maker (director, CEO, etc).
Kwa uzoefu wangu mdogo, kuna uwezekano hiyo itakua interview ya mwisho, na most likely utakutana na a key decision maker. Mara nyingi hadi hatua hii unaweza kuta mmebaki mtu mbili tu, then sasa yeye anachagua mtu mmoja ambae ndo atapata kazi.
Nini cha kufanya:
1. Sitegemei interview hii iwe technical sana, kwa maana wameshajihakikishia kuwa hadi hatua hiyo you can do the job technically, so be calm na jiandae zaidi kwa conversation ambayo ni high-level about the role and the company, jiandae kumu impress jamaa na kumuonyesha kuwa you are the right fit.
2. Soma sana zaidi kuhusu the organization, na hiyo nafasi unayoomba kwa organization, na ujue kabisa je wewe unaenda kuongeza value gani hapo? How is your skillset alligned to the job requirement? That is what you should be selling kwenye hiyo interview.
3. Kama una bahati ya kumjua atakaekua the key decision maker kwa hiyo interview-Use that luck to your advantage.... Search about the person (LinkedIn, web ya organization, etc).... Ameshawahi kufanya research au kuandika kitabu....? What was it about? Kitu gani ambacho this person cares to their heart....? Ukikipata hiki, then try to make sure that you touch and talk about that thing in the interview... And, when given an opportunity to ask a question, ask about that. Ukifanya hivi, 95% you got the job!
I tried this trick in my previous interview, it worked marvelously..... It was a 4th interview, with the organization's chief director, a University Professor in USA actually.
Nilijua kuwa interview ya mwisho itakua na Prof So and So who is the director for the organization. Nikachimba na kumsoma all over (bahati nzuri, being a Professor there was a lot on the internet about her); Nikajua her soft spot ni issues around inclusivity (ensuring basic service delivery to the most marginalized populations). She has written numerous papers and gave many talks on inclusivity. Interview ilikua scheduled for 30 minutes only (she is a very busy person of course). Tumegonga fresh, kuelekea mwishoni zimebaki 3 minutes, nikapewa nafasi ya kuuliza swali.
There and then, I nailed my last nail to the coffin.... Nikauliza swali langu bwana. Guess what?
She used like 7 minutes to respond to that question... And she responded it from the heart, I could hear the passion and how the matter touched the innermost parr of her heart from her voice (which is EXACTLY what I wanted). From the way she responded, and the time she took, I knew there and then that I got the job...!!
And, I was not wrong....!! The rest, as they say is history..!!
Interviews are about FEELINGS (not facts), the more you know how to touch the feeling of the decision maker/s during the interview, the more chances you have.
RUKUKU BOY
Sasa pale ambazo huna access ya kujua pannelists.Kwanza hongera sana.
Pili, kwa kawaida wanatakiwa wawe wamekuambia kuwa hii interview ya awamu hii ni nani atakufanyia, kwa mfano labda the decision maker (director, CEO, etc).
Kwa uzoefu wangu mdogo, kuna uwezekano hiyo itakua interview ya mwisho, na most likely utakutana na a key decision maker. Mara nyingi hadi hatua hii unaweza kuta mmebaki mtu mbili tu, then sasa yeye anachagua mtu mmoja ambae ndo atapata kazi.
Nini cha kufanya:
1. Sitegemei interview hii iwe technical sana, kwa maana wameshajihakikishia kuwa hadi hatua hiyo you can do the job technically, so be calm na jiandae zaidi kwa conversation ambayo ni high-level about the role and the company, jiandae kumu impress jamaa na kumuonyesha kuwa you are the right fit.
2. Soma sana zaidi kuhusu the organization, na hiyo nafasi unayoomba kwa organization, na ujue kabisa je wewe unaenda kuongeza value gani hapo? How is your skillset alligned to the job requirement? That is what you should be selling kwenye hiyo interview.
3. Kama una bahati ya kumjua atakaekua the key decision maker kwa hiyo interview-Use that luck to your advantage.... Search about the person (LinkedIn, web ya organization, etc).... Ameshawahi kufanya research au kuandika kitabu....? What was it about? Kitu gani ambacho this person cares to their heart....? Ukikipata hiki, then try to make sure that you touch and talk about that thing in the interview... And, when given an opportunity to ask a question, ask about that. Ukifanya hivi, 95% you got the job!
I tried this trick in my previous interview, it worked marvelously..... It was a 4th interview, with the organization's chief director, a University Professor in USA actually.
Nilijua kuwa interview ya mwisho itakua na Prof So and So who is the director for the organization. Nikachimba na kumsoma all over (bahati nzuri, being a Professor there was a lot on the internet about her); Nikajua her soft spot ni issues around inclusivity (ensuring basic service delivery to the most marginalized populations). She has written numerous papers and gave many talks on inclusivity. Interview ilikua scheduled for 30 minutes only (she is a very busy person of course). Tumegonga fresh, kuelekea mwishoni zimebaki 3 minutes, nikapewa nafasi ya kuuliza swali.
There and then, I nailed my last nail to the coffin.... Nikauliza swali langu bwana. Guess what?
She used like 7 minutes to respond to that question... And she responded it from the heart, I could hear the passion and how the matter touched the innermost parr of her heart from her voice (which is EXACTLY what I wanted). From the way she responded, and the time she took, I knew there and then that I got the job...!!
And, I was not wrong....!! The rest, as they say is history..!!
Interviews are about FEELINGS (not facts), the more you know how to touch the feeling of the decision maker/s during the interview, the more chances you have.
RUKUKU BOY