Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,784
- 31,707
Habari wakuu wa jukwaa hili,
Sitaki kuwachosha hata kidogo ngoja niende moja kwa moja kwenye mada,
Lengo la siasa duniani ni nini kwanini kuna siasa?
Je ni lazima ukiwa mwana siasa uwe mnafiki?
Je lazima ukiwa mfuasi wa wanasiasa lazima akili zako wazishike yaana wakushikie akili? Kila kitu wanachoongea kwako kiwe sawa tu?
Nawasilisha
Sitaki kuwachosha hata kidogo ngoja niende moja kwa moja kwenye mada,
Lengo la siasa duniani ni nini kwanini kuna siasa?
Je ni lazima ukiwa mwana siasa uwe mnafiki?
Je lazima ukiwa mfuasi wa wanasiasa lazima akili zako wazishike yaana wakushikie akili? Kila kitu wanachoongea kwako kiwe sawa tu?
Nawasilisha