Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 2,796
- 1,236
Nenda Misri tu hapo utaona jinsi waarabu wanavyo wabagua watu weusi tena waislam wenzao....acheni utuwmwa wa kifikra kwa hizi dini zilizokuja na meliNahisi ni uhafifu wa nguvu za kidola sio kuwa saudia ni wanafik muislam nduguye ni muislam ila zama hizi kuna lijidola lina maguvu(NATO) ukifanya tu fyoo utajutia maisha
All in all, power comes and go