Lema: Tunahitaji waziri mkuu serious

Lema: Tunahitaji waziri mkuu serious

Status
Not open for further replies.

fikirikwanza

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
7,452
Reaction score
3,073
Akiongea ITV jioni hii, Mbunge LEMA amesema kama pinda angekuwa CDM wangemvua UPM na Ubunge, pia wangemfikisha mahakamani kwa yale yaliyotokea kwenye operation kimbunga na tokomeza. Aidha Mawaziri wote wane angevuliwa hadi uanachama kwa fezeha walizofanyiwa wananchi.

Lema amesema CC ya CDM iko makini ktk kufanya maamuzi makubwa ya kuwaajibisha viongozi ndan ya CDM kwa makosa au shutuma zinazomkabiri.

Mtu au raia mmoja akiteswa rais achukkulie kama mmoja ktk familia yake ya damu ameteswa hivyo awe makini na serious kufatilia sualahilo.

Mtangazaji amembana mbunge OBAMA kuhusu CCM kushindwa kufukuza mafisadi, OBAMA kama waliyo wenzake ameshindwa kujibu anadai hata kijiji kinamafsadi, unaongelea wa kkijijn wakati swali ni la kitaifa??

Nawasilisha
 
Uwaziri Mkuu mtamu we unadhani anapenda kuuacha? Ila huy PM wetu haeleweki leo kaenda Kiteto kafika na kutoa tamko eti uchunguzi ufanyike hafu atua zichukuliwe sasa hilo tamko hata DC angweza kulitoa, Hapa ndo huwa namfagilia Laigwanani Lowasa hacheki hapo angeoondoka na viongozi kadhaa wa serikali ngazi ya wilaya na Mkoa.

Akiongea ITV jioni hii, Mbunge LEMA amesema kama pinda angekuwa CDM wangemvua UPM na Ubunge, pia wangemfikisha mahakamani kwa yale yaliyotokea kwenye operation kimbunga na tokomeza. Aidha Mawaziri wote wane angevuliwa hadi uanachama kwa fezeha walizofanyiwa wananchi.

Lema amesema CC ya CDM iko makini ktk kufanya maamuzi makubwa ya kuwaajibisha viongozi ndan ya CDM kwa makosa au shutuma zinazomkabiri.

Mtu au raia mmoja akiteswa rais achukkulie kama mmoja ktk familia yake ya damu ameteswa hivyo awe makini na serious kufatilia sualahilo.

Mtangazaji amembana mbunge OBAMA kuhusu CCM kushindwa kufukuza mafisadi, OBAMA kama waliyo wenzake ameshindwa kujibu anadai hata kijiji kinamafsadi, unaongelea wa kkijijn wakati swali ni la kitaifa??

Nawasilisha
 
unamzungumzia huyu lema aliyemjeruhi mwigamba na kukikili kuwa posho ziongezwe
 
Hivyo ndivyo inavyopasa kuwa hasa ktk nchi zilizonautawala wa sheria, siyo hapa pakusadikika japo nyakati zaja!
 
Kamvue uenyekiti Mbowe kwanza kabla hujanyooshea wengine vidole

KUB anatumia cheo kufanyia uzinzi ni aibu kubwa kwa chadema na taifa

Wewe ulimuomba Lema akupige mzigo alivyokataa ulikasirika sana. Ma. shoo gange mna matatizo mkikataliwa.
 
Kamvue uenyekiti Mbowe kwanza kabla hujanyooshea wengine vidole

KUB anatumia cheo kufanyia uzinzi ni aibu kubwa kwa chadema na taifa

Kinachoongelewa hapa ni utendaji mbovu wa waziri mkuu na mawaziri wengine,Mbowe ametoka wapi? Au ulitaka atembee na wewe ndio ufunge mdomo? Chadema hakuna mash*ga, ungefanya jambo la maana kurudisha rambirambi za mke wa mwangosi ulizokula ndio uje kupiga umbea huku.
 
Kinachoongelewa hapa ni utendaji mbovu wa waziri mkuu na mawaziri wengine,Mbowe ametoka wapi? Au ulitaka atembee na wewe ndio ufunge mdomo? Chadema hakuna mash*ga, ungefanya jambo la maana kurudisha rambirambi za mke wa mwangosi ulizokula ndio uje kupiga umbea huku.

Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
 
Ndo kauli zake "ngoja tuone ni namna gani tunaweza kulimaliza tatizo hili la mauaji hapa Kiteto, naamini tutalipatia ufumbuzi mapema" kazi imeisha dereva washa gari twende.........
 
Kinachoongelewa hapa ni utendaji mbovu wa waziri mkuu na mawaziri wengine,Mbowe ametoka wapi? Au ulitaka atembee na wewe ndio ufunge mdomo? Chadema hakuna mash*ga, ungefanya jambo la maana kurudisha rambirambi za mke wa mwangosi ulizokula ndio uje kupiga umbea huku.

Du we mukariiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!
 
fikirikwanza hoja Lema ni nzuri na hongera kwa mawazo mazuri sana, sasa bana nina maswali machache tu kama ifuatavyo;
1. Kama Pinda alitakiwa kuwajibishwa kwa sababu alishindwa kushughulikia hizo operations kabisa, sasa mbona Mbowe haujamuwajibisha maana alishindwa kutatua matatizo yanayokikumba chama hibi sasa yanayohusiana na Zitto maana hili tatizo halijaripuka gjafla asipokuwa lilianza muda mrefu
2. Ndani ya bunge Pinda amekuwa mjibuji wa hoja mzuri sana lakini utendaji wake ndio umekuwa mbovu sana, sasa mbona Lema unashindwa kumuwajibisha Mbowe maana toka ameingia bungeni hana la maana sana alilofanya mpaka sasa tofauti na kuuliza maswali malaini sana, si unakumbuka enzi za jembe la ukweli Dr. Slaa?
 
Last edited by a moderator:
Kinachoongelewa hapa ni utendaji mbovu wa waziri mkuu na mawaziri wengine,Mbowe ametoka wapi? Au ulitaka atembee na wewe ndio ufunge mdomo? Chadema hakuna mash*ga, ungefanya jambo la maana kurudisha rambirambi za mke wa mwangosi ulizokula ndio uje kupiga umbea huku.
Mbona unamtukana Lema tena?
 
Unataka tuweke wazi uzinzi wa viongozi wako wa juu?? na hali zao???

Unamaanisha Mbowe anafanya uzinzi kwa sababu viongozi wa juu wa CCM nao wanafanya uzinzi? Kama ni hivyo basi hakuna haja ya kuwa na chama mbadala.
 
Hahahaha HUYU LEMA SIDHANI KAMA ANAJUA MAANA YAKUWA SERIOUS.

YEYE ANACHOJUA NI KURUSHA MAWE KWENYE MIKUTANO YAO.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom