Arnold Ringo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 2,318
- 394
Lema hamna kitu pale. Tulipoteza kuna zetuLema bana kwa nini asisubiri miradi yake ya Machinga Compelex na Hospital ya kinamama imalizike akaifungue.
kwani lema unadhani amewahi kuwa na akili hata siku moja?
Nimekuelewa. Habari hiyo imeandikwa kwenye gazeti la UHURU. Wao wameliandika kisiasa kwa maana ya kwamba walitaka Lema na Msofe watoe michango yao moja kwa moja kama watu binafsi sio kama walipa kodi wengine. La kujiuliza je viongozi wote wa CCM waliokuwepo walichangia?! Hivi kwa mfano ni kila mradi anaouzindua rais au kiongozi yeyote ni lazima awe amechangia?! Kwa gazeti la uhuru niemelewa lengo lao. Jinsi walivyoiandika ni kana kwamba waliokuwa wanazindua ni Lema na Msofe na sio hao viongozi wa mbio za mwenge na kuwa Msofe na Lema walikuwepo kama viongozi wa Arusha. Kama ndivyo basi huo ni wendawazimu wa mhariri wa gazeti hiloHivi kwanini miradi lazima izinduliwe? Rudia kusoma post, inaonekana Lema/Msofe walishiriki tukio la Mwenge kuzindua hio miradi
Porn kila mtu rijali anafanya, ila sema tu wafanyaji wengi hawajabaatika kupiga picha
Hapa ndo nwashangaa watanzania, Kwani hizo fedha zilizotumika si kodi za wananchi, na hao si ndo wasimamizi wa fedha hizo za walipa kodi arusha? hizo fedha za ujenzi zimetoka wapi?
Nimekuelewa. Habari hiyo imeandikwa kwenye gazeti la UHURU. Wao wameliandika kisiasa kwa maana ya kwamba walitaka Lema na Msofe watoe michango yao moja kwa moja kama watu binafsi sio kama walipa kodi wengine. La kujiuliza je viongozi wote wa CCM waliokuwepo walichangia?! Hivi kwa mfano ni kila mradi anaouzindua rais au kiongozi yeyote ni lazima awe amechangia?! Kwa gazeti la uhuru niemelewa lengo lao. Jinsi walivyoiandika ni kana kwamba waliokuwa wanazindua ni Lema na Msofe na sio hao viongozi wa mbio za mwenge na kuwa Msofe na Lema walikuwepo kama viongozi wa Arusha. Kama ndivyo basi huo ni wendawazimu wa mhariri wa gazeti hilo
Lema, Mbowe, Slaa wote ni ny-r- tu.
Kuanzia saa 10 alfajiri kuku wanapowika nao kabla hata ya kupiga mswaki hukashifu serikali huku wakiwa wamelaa kwenye nyumba zenye UMEME, MAJI; huku wakisafiri kupitia barabara za lami wanazobeza kila siku, huku wakitua kwenye viwanja vya ndege wanavyobeza kila siku. In short hawa wanafana kwa karibu na LUSIFA, SHETANI, IBIRISI ambaye kila MUNGU alichofanya wao walikisoa! Ole wa nchi na bahari maana mbowe na kundi lake limetupwa kwao!
Jamani tafuteni hoja ya maana hii haijakaa sawa, arusha kila mtu anajua kuwa ni sehemu kubwa au tunaweza kuita ngome kuu ya chadema sasa inawezekanaje mtu kualikwa katika mnuso ambao haujachangia nani atakubali akupe kadi ya kuja kula bila kutoa mchango hii ilikuwa mwaka 47 siyo miaka hii....................jibu tosha hilo
ahadi nyingi za lema hazijatekelezeka, nakumbuka kumsikia katika mkutano wako moja pale arusha akisema kwamba, anawashukuru sana wana arusha kwa kumchagua yeye kwa maaana na yeye kafanikiwa kununua gari nzuri, na kupeleka watoto shule nzuri, nadhani hicho ndicho kafanikiwa zaidi mengine hakuna..
Naona mmekaa watatu mnajibisha wenyewe kwa wenyewe!!! Yaani Arusha saa hiz watu wako kwenye kazi hawapotezi muda. Lema ni raisi wa Arusha wala huna hata wazo la kumbadilisha. Na madiwani wa ccm waliobaki waambieni wakusanye virago. Mbona jk mwenyewe anajua hafanyi ziara arusha. Mtatukanaa lkn wanaarusha tunaelewa na sisi ndio final. Rukeni rukeni tumekuja " DELETE KABISA" Kufagia buibui wote maana arusha mlisha kaa.
Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema na Naibu Meya wa Jiji la Arusha Msofe wazindua Hospitali ambayo hawakushiriki kuijenga katika mbio za Mwenge!
Source; Habari Magazetini.