Lema,na millya ndani ya loliondo.

Lema,na millya ndani ya loliondo.

Chibolo

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
5,768
Reaction score
8,037
makanda hao wamekuja hapa wilayani kushriki mazishi ya aliyekuwa mgombea wa chadema ndg.parakipunyi kupitia chadema 2010.hata hivyo kamanda lema amekuwa kivutio kikubwa ambapo kila mtu alitaka kumuona na wananchi wamefurahi namna walivoshiriki mazish haya.kesho anatarajia kufanya mkutano mkubwa wasso hapa loliondo.
 
makanda hao wamekuja hapa wilayani kushriki mazishi ya aliyekuwa mgombea wa chadema ndg.parakipunyi kupitia chadema 2010.hata hivyo kamanda lema amekuwa kivutio kikubwa ambapo kila mtu alitaka kumuona na wananchi wamefurahi namna walivoshiriki mazish haya.kesho anatarajia kufanya mkutano mkubwa wasso hapa loliondo.
😛eace:
 
I wish makamanda wangefika na Ngorongoro mf Nainokanoka,Nayibi, etc huku masai wapo shimoni kwenye kiza kabisaaa!
 
Weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee chezea jembe la arusha lema weweeeeeeeeeeeee hiyo ni nondo hlo ametikisa loliondo
 
Kila la kheri. Wavue magamba wavae magwanda

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mbunge wangu godbless lema watu wa arusha wanakushukuru cna kwa ujasiri uliowapa watu wa arusha wewe ndyo rais wetu wa arusha hatutaki maendeleo yeyote ujasiri uliotupa ni zaidi ya maendeleo maendeleo sio vitu maendeleo ni kujua haki yako ya msingi na tunakupenda cna tunakuombea kesho nanguruma kimandolu natuna wavuna wanachama 65 wa ccm kesho tushaorozesha majina yao tunasamehe zambi zao zote kesho ukiwa chadema ni cwa umeokoka ukikataliwa chadema ni cwa mungu amekukataa alutan contunua makamanda chezea lema weweeeeeeeeeeeeee
 
Mnapenda kumchezea Mungu. Lema mwenyewe jambazi sugu afu mnazuga ukijiunga cdm umeokoka, ------- kabisa
 
Mnapenda kumchezea Mungu. Lema mwenyewe jambazi sugu afu mnazuga ukijiunga cdm umeokoka, ------- kabisa

Kumbe Lema kiboko yaani hata wataalamu wa intelijensia Mwema na Kova wameshindwa kumkamata jambazi sugu Lema!
 
Taaratibu wanaoitwa wachochezi wanalakiwa na wananchi na kuomba walau kuwaona. Lakini wanaotuletea maendeleo na kutunza amani ya nchi tuliowaamini wanapozungukia maeneo yetu kama sio sheria na ulazima wa kwenda hata ikibidi kwa rokoo wananchi wanatoka baru.
Mwalimu wangu wa kishwahili alikuwaaga anatuuliza "Mmejifunza nini kutokana na sentensi hii" Je nasi tunajifunza nini juu ya hilo?
 
Mnapenda kumchezea Mungu. Lema mwenyewe jambazi sugu afu mnazuga ukijiunga cdm umeokoka, ------- kabisa

nilikua niongee ila sijui umri wako. Naomba nikupe kaeshima kadogo "SUNDUMERU"
 
Back
Top Bottom