Skylar
JF-Expert Member
- Nov 10, 2021
- 2,256
- 5,335
Bora angecha lile jina la mwanzo, X doesn't sound right to meX ni hatari!!
Bora angecha lile jina la mwanzo, X doesn't sound right to meX ni hatari!!
KabisaaUmefanya vyema! Kuna alama nyingine kwa wenzetu zinamaanisha jambo fulani. Sie tunajiunga tu hovyo!
Kuna waliofaulu kwa kuoata division one mtaani wengi tu ila mpaka leo hawana futureHivi Lema ambae alifeli kidato cha nne ataachaje kuchoka?
Wanyakyusa wa Mbeya! 😂😂🔥🌟Watu wa Mbeya sio sawa na mateja wa Arusha au Manamba wa Mwanza.
Mimi na SuzanaWewe na nani.?
Lakini ujumbe si umeupata mubashara kabisa"Mbeya hipi?"- Kwa uandishi huu inaonesha wewe ni hasara kwa taifa.
msaliti huyo alimkimbia Makamu Mwenyekiti Taifa alipokua ziarani kwenye kanda yakeMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh God bless Lema anesema kupitia ukurasa wake wa X kuwa Mbeya itakuwa Msaada mkubwa sana kwa Mabadiliko na Uamsho wa Nchi
Mlale Unono 😃😃
MapokeoNikiona ukura wa X najiuliza Elon Mask aliwaza nini?? X kwetu ni pilau nyama mixer kachumbari au nadanganya?
Wewe X kama mtu mzima umeelewa nini ?Yaani hiyo X imenifanya nijiondoe kwenye huo mtandao kabisa sijui kwa nini
TAL ni Jeshi la Mtu mmoko akiwa jirani na Heche, CPA Ruge na Suzan Kiwanga 😂😂🐼msaliti huyo alimkimbia Makamu Mwenyekiti Taifa alipokua ziarani kwenye kanda yake
Daaah! Saa hizi Twitter ambayo ni X nikitaka kufungua lazima niangalie usalama kwa walio nizunguka maana Kuna watu wa hovyo nchi hiiMapokeo
Unaangali X videos sio Twitter videos😀Ni jina la mwanae kama sikosei , hela bana juz kasema ana dola billion 42 sijui afanyie nini yan anauliza watu kule X….
suzan kiwanga sawa, lakini Heche aise ni muoga, sijawahi muona mkurya muoga kama Heche ktk dunia hiiTAL ni Jeshi la Mtu mmoko akiwa jirani na Heche, CPA Ruge na Suzan Kiwanga 😂😂🐼
Sijaelewa mkuu, ngoja nijaribu ku google kama ntapata ideaWewe X kama mtu mzima umeelewa nini ?
Usisahau kupita kwenye images na videosSijaelewa mkuu, ngoja nijaribu ku google kama ntapata idea
Hapana, maandishi yanatosha, ingekua maandishi sielewi ningefungua picha na video, ila maandishi naelewa kabisa mkuuUsisahau kupita kwenye images na videosView attachment 2758251
Tulia anapambania mlo wake. Ila banyambala huwa watu wa maamuzi magumu. Na unaweza kudhani labda ni wachache...kumbe wako wengi nyuma ya hao wenye misimamo isiyoyumba.Mbeya hipi? Hii tuliyo Tulia na Tulia
Unajifunza kwa video na picha elimu ya siku hizi imekuwa bora sana au nakosea ?Hapana, maandishi yanatosha, ingekua maandishi sielewi ningefungua picha na video, ila maandishi naelewa kabisa mkuu