Lema maji ya shingo Arusha

Sasa ameanza rasmi kampeni za kutuma spam messages akiomba kupigiwa kura.

Inasikitisha hii mitandao yetu kutumika kwenye kampeni na kugawa namba zetu kwa wanasiasa.

Shame on you! GJ Lema ni mbunge mteule; Gambaz mkajinyonge!
 
Jingalao naomba matokeo ya Ubunge Arusha🙇
 
Lema lema lema....chamecha meku oko...nakicha otana mbeee..
 
Sasa ameanza rasmi kampeni za kutuma spam messages akiomba kupigiwa kura.

Inasikitisha hii mitandao yetu kutumika kwenye kampeni na kugawa namba zetu kwa wanasiasa.

Jingalao, mmeo lema kashinda
 
Kinachonifurahisha Arusha wanajitambua!!.
Hongera Lema kwa ushindi!!!!!
 
Arusha ni arusha tuu!!!hakuna namna!!hatutaweza badilishwa kwa lolote lile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…