Lema kikaangoni

kwa hiyo, hizo ndo sera za CCM. Heri wewe na Sokwe wenu wasira mhamie seregenti..... hamfai kuishi na binadamu
 
Lema ni mpigania haki na utu wa mwanadamu,hakuna jembe ambalo nalikubari kama lema! Lema tupo pamoja sana katika mapambano haya.
 
Baada yakumuumbua wazir mkuu mjengoni,imebainika ana kesi ya kujibu huku ishu ya "mama mdogo" ikiwa ni chambo,Lema siku za karibuni arumeru ameonekana mnyonge huku zile mbwembwe zake zikipungua sana,tusubiri tuone chezo

Acheni upumbavu jamani Lema ni jembe lisilopungua makali!
Njooni huku kama mnataka kumjua Lema vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…