Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 104,164
- 184,081
Huu hapa ndio Ujumbe wake
Nitakuja kukusalimia nikifika Arusha nikupe Injili ya Mungu. Kama Biswalo, Paul Makonda, Mrisho Gambo na wengine wako huru basi wewe haupaswi kuwa jela. Rais kataja jana wezi wa pesa za Plea bargaining na mtu huyo ni jaji. Sheria haipaswi kuangalia sura, cheo, dini au kabila.
Nitakuja kukusalimia nikifika Arusha nikupe Injili ya Mungu. Kama Biswalo, Paul Makonda, Mrisho Gambo na wengine wako huru basi wewe haupaswi kuwa jela. Rais kataja jana wezi wa pesa za Plea bargaining na mtu huyo ni jaji. Sheria haipaswi kuangalia sura, cheo, dini au kabila.