Oroka msoro
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 573
- 434
Alishtakiwa kwenye mahakama ipi na hukumu ilikuajeLema mwenyewe ni Mwizi wa magari muda sana
Alishtakiwa kwenye mahakama ipi na hukumu ilikuajeLema mwenyewe ni Mwizi wa magari muda sana
Porojo za kijiweni hiziWakazi wa Arusha zidisheni ulinzi kwenye magari yenu, mtakuja kunishukuru
Biswalo jambazi lililotumia ofisi ya umma kufanya uhalifu wa kutishaComment imekaa kimaskini sana hii. Tafuta pesa
Anamzungumzia SabayaSi ukamkate?! Mbona still yuko uraiani? Acha kumchafua majina ya watu kwa uzushi
Alimwibia nani
Kaka umewahi kufika Kilimanjaro na ukapita Moshi mjini na Hai na baadae ukaenda Arusha enzi za utawala wa General Sabaya?Hilo lipo wazi kwamba sabaya anaonewa kumfurahisha mtu.
Political situation iliyokuepo Ni ipi Sasa wakati huo?We ichukue hivyo Kwa kifupi na ukiamini ni story za town pia poa ila usifute comment hiyo Hadi Lema arudi. Anayo kesi mbichi. Intrepoll wanamsubiri. Kipindi kile akiwa Nairobi asingekamatwa kutokana political situation iliyokuwepo.
Jinsi watu wanavyo mpotray Sabaya it is as if amefanya genocide huko hai jambo ambalo sio kweli. Hakuna tofauti yeyote kati yake na the likes of Makonda na wengine.Kaka umewahi kufika Kilimanjaro na ukapita Moshi mjini na Hai na baadae ukaenda Arusha enzi za utawala wa General Sabaya?
Kama hujawahi jaribu Sasa ukajipatia first hand information on how General was kwa watu ambao wamemu-encounter face to face ujue alikua mtu wa namna gani!
But wait anaonewa ili Nani afurahishwe na je asipofurahishwa Hugo mtu kitu gani kitatokea as long as alikua ndani ya CCM na Dola na mwwnyewe mahakamani alikiri kwa kinywa chake alikua anatumwa na mamlaka iliyomteua!
Kiufupi yule jamaa alilewa madaraka!
Sijamzungumzia Biswalo ambaye unasema ni mtu wa Jiwe wakati sasa hivi ana cheo na kapewa na Samia. Nachosema ni kwamba tuhuma yeyote ile ikimuhusu Jiwe na akina Makonda hata iweje huwa hamuulizi kuhusu ushahidi wa hiyo tuhuma mnaichukua kama ilivyo. Mie nikija hapa nikisema Makonda alinichukulia Nyumba yangu na kiwanja changu basi hata hamtohitaji uhakika kwa nachokisema ilimradi aliyetajwa ni Makonda basi mnakubali tu.Biswalo alikua mtu wa Jiwe, na katuhumiwa kupora fedha. Jiwe anaingia moja kwa moja. Nishawaambia kichwa sio kufugia nywele, tumia kichwa kufikiri na kuchanganua issues.
Wewe inakuuma nini akichafuliwa Lema mbona wengine wakituhumiwa humu bila ushahidi hamuhoji kuhusu ushahidi? Hivi mie nikija nikisema Makonda alinichukulia nyumba na kiwanja changu je,wewe utataka ushahidi na kuona namsingizia?Alikuibia yeye??
Kama ni mwizi lete ushahidi mmoja wa aliyeibiwa ni lema.
Kinyume chake mwache chuki haizwasaidii kwa kumchafua mtu kwa ujinga wenu.
Biswalo akishika namba mbili je namba moja ninani?Ukweli ni kwamba Sabaya ni mwovu. Lakini ukimlinganisha na Makonda au Biswalo, Sabaya ataonekana ni mtakatifu.
Ukiongea na wale waliobambikowa kesi za uhujumu uchumi, yawezekana Biswalo atakuwa mtu wa pili aliyewahi kupora pesa nyingi za watu, kuliko mtu yeyote nchi hii.
Huyu Biswalo ni lazima siku moja ahukumiwe sawasawa na uovu wake. Kwa uovu alioutenda, laana itembee naye daima.
Hii yako imekaa ki Sukuma gangComment imekaa kimaskini sana hii. Tafuta pesa
Kijana wa NyariLema mwenyewe ni Mwizi wa magari muda sana
Joyce mukya.. au ndio wewe?Wewe ndiye aliyekuzalisha!!??
Umasikini ni akili fupi, poleni sana twendeni tukamuunge mama mkono... maridhiano hoyee!!!Tuambie wewe unajua waliramba asali gani nyuki wadogo au wakubwa na iliwekwa account gani Nani aliekabidhiwa agawie wenzake, na ni Nani alieongoza kundi ilo? Ebu jibu ili nikuuli, e maswali niipate kuku amini
Maana uzushi hii nchi ndio elimu yenu