Lema: Jina langu ni miongoni mwa wanaotaka kutekwa, watekaji hawataona kaburi wala mauti yangu

Hivi ikiwa wabunge wanalia bungeni kwa kuogopa kutekwa hivi sisi makapuku tunang'ang'ania uanaharakati tutatoka kweli? So bora tunyamaze
 
Katika hili swala kuna ukweli fulani na ndiyo maana wizara na idara husika ziko kimya kwani hazijui taarifa zimetokaje nje na haijulikani mtoaji ni nani. Kwa kawaida taarifa za viongozi zaidi ya 3 kutangazwa hadharani ni hatari kwa nchi .
 
Lema kama anamjua Mungu asingempiga vitofali Samson Mwigamba au asingegoma kumpa mkono meya wake Lazaro Calist kisa eti analinyemelea jimbo lake la Arusha
 
mnashindwa kuhudumia majimbo yenu mnabaki kusingizia kutekwa;sasa tusubiri namna hayo masanduku ya kura yatakavyowateka 2020
 
Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Godbless Lema amesema jina lake ni miongoni mwa wabunge wanaokata kutekwa, aonya watekaji kuwa hawataona kaburi wala mauti yake.

Hah haha huu wimbo wa Bashe sasa naona kila mjinga anauimba ,Lema atekwe kwa kipi na nani amteke kwa faida ya nani,Lema kwake jela tu na si kutekwa.watu waache kutaka kuipaka serikali matope kwa sababu wanazozijua wao wenyewe,kama hawana ajenda za kuwatumikia wananchi wao basi wafunge mabakuli yao,kila siku ni kutafuta kiki za kijinga,badala ya kuwatumikia wananchi.Tanzania kwanza
 
mahakamani siku Lema anaachiwa aligoma kumpa mkono meya wa CHADEMA bwana Lazaro Calist
Wakati huohuo yeye anamwandikia rais kuwa aliwakataza wabunge wa ccm kumtembelea poor politics, hizi propaganda tumezigundua kama ambavyo rais wetu kagundu na kaamua kuwaita abiria
 
Hah haha huu wimbo wa Bashe sasa naona kila mjinga anauimba ,Lema atekwe kwa kipi na nani amteke kwa faida ya nani,Lema kwake jela tu na si kutekwa.watu waache kutaka kuipaka serikali matope kwa sababu wanazozijua wao wenyewe,kama hawana ajenda za kuwatumikia wananchi wao basi wafunge mabakuli yao,kila siku ni kutafuta kiki za kijinga,badala ya kuwatumikia wananchi.Tanzania kwanza
Halafu wanamkejeri rais wetu kuwa ni dikteta wakati huohuo wao hawataki Lazaro agombee, safari hii mnalo chadomo, Arusha ni Lazro tut
 
Wakati huohuo yeye anamwandikia rais kuwa aliwakataza wabunge wa ccm kumtembelea poor politics, hizi propaganda tumezigundua kama ambavyo rais wetu kagundu na kaamua kuwaita abiria
Lema mtu wa ajabu sana..viongozi wenzake wa CHADEMA Arusha aliwapiga marufuku kumtembelea eti wanamfitinisha ubunge wake na wananchi wa Arusha
 
Halafu wanamkejeri rais wetu kuwa ni dikteta wakati huohuo wao hawataki Lazaro agombee, safari hii mnalo chadomo, Arusha ni Lazro tut
Kwani kuna ubaya gani. Mimi nilifikri unasema mnaweka mtu wa CCM achukue Arusha
 
Back
Top Bottom