Nilitaka kushangaa usizungumze ila Jibu Hoja......Lema pekee yake tu shazi bila promo bila kuwarubuni watu wamejaaa!ebu jaribuni na nyinyi.Pigeni kelele Lema Anasonga
Nashangaa wale waliosema dar ni yao! Hao hawajaletwa kwa malori wala kuahidiwa elfu 5! Kama bado wanawaza hivyo hawana tofauti na aliyekuwa waziri wa habari wa Iraq enzi za Sadam!
Nashangaa wale waliosema dar ni yao! Hao hawajaletwa kwa malori wala kuahidiwa elfu 5! Kama bado wanawaza hivyo hawana tofauti na aliyekuwa waziri wa habari wa Iraq enzi za Sadam!