Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,934
Wengi ni wavivu na wanakumbatia CCM kwa vipande vya fedha? wengi hawataki shule zaidi ya kucheza bao
Usilazimishe wakufuate, Kila mtu na choice yake bwana,,kuhusu shule unaweza ukawa na master mpaka degree lakini ustaarabu zero, so kusoma sio kustaarabika