Lema atua Tanga Mjini, ashangaa na kulia baada ya kukuta Watu bado wanaishi kwenye Magofu zama hizi!

 
Akienda Zanzibar anaweza pata shinikizo la moyo.

Akifika Greece anaweza pata shinikizo la moyo. Ati anashangaa ya mkoloni.

Amefika Venice huyo?



Huko mbali,amefika magogoni Dar, kuna mjengo pale kwa Nkulu.

Hata kama ana point ilimradi Nyumba ni nafuu ina kalika na kufaa kuishi na upo
upatikanaji wa miundombinu ya msingi, maji, umeme, barabara n.k na iko karibu na huduma za ajira na shule na inafaa kwa watu wa uwezo wote na inafaa na kukubalika kitamaduni...hayo ni ya msingi ambayo yanakubalika na Umoja wa Mataifa. Canada huko alipotoka, waafrika wengi tu hawana hizo nyumba anazoziita magofu. Hawana nyumba inayokubalika na Umoja wa Mataifa.
 
Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema, Godbless Lema ambaye wengine hupendelea kumwita Nabii ametua jijini Tanga na kushikwa na mshangao mkuu.

Lema amesema haamini macho yake kushuhudia Watu wanaishi kwenye Magofu yaliyojengwa na waarabu nyakati za utumwa.

Lema amewataka wakazi wa Tanga kuukimbia umasikini kwa kujikomboa Kifikra kwanza kisha wakumbatie Kilimo cha kisasa.

Lema yuko kwenye ziara ya Mikutano ya nchi nzima akiwa na Viongozi mbalimbali wa Chadema.

Mungu ni Mwema wakati Wote!

FrypEqxX0AQnlpg
hii nchi inahitaji reformation haraka sana. hatuwezi kuendelea kuishi kama jana
 
Lema ingekuwa amezaliwa huko alikotoka halafu iwe ndo mara yake ya kwanza kufika Tanzania angetuua kwa presha kwa haya Mambo aliyoyakuta, yaani Lema wakutuona sisi tunaishi kama wadudu kweli.........!
ukitaka kutoa mwiba lazima utoboe nyama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom