Lema Atikisa Arusha

Huo utakua ule mkutano wa Ile Saccoss ya Ufipa kwa ajili ya kujadili maombi ya mikopo ili wakanunue magari
 
Lema atarudia ujambazi,akikosa ubunge 2020,wananchi wa arusha wamemchoka kazi kufanya vurugu tu bungeni,badala ya kusema shida na matatizo ya wananchi wa arusha.
Bado una mawazo hayo,nikuombe ufanze toba kwa Mola wako ili uwe mkweli uweze kuwasaidia wengine.
 
Lema atarudia ujambazi,akikosa ubunge 2020,wananchi wa arusha wamemchoka kazi kufanya vurugu tu bungeni,badala ya kusema shida na matatizo ya wananchi wa arusha.
Wamekachoka Ka Lema kama nilivyochoka mfereji wa mamako? Yaani hapa nilipo na jitahidi kuvumilia tu!
 
Lema amekumbuka shuka wakati kumeshakucha,hiyo mikutano ni ya kuwaaga wana Arusha mjini
 
Hivi shule zimefungwa?? maana naona watoto tu, makamanda wameunga mkono juhudi.
 
Kuna aja ya kupeleka mswada bungeni kwa hati ya dharura kuzuia watu wasiende kwenye mikutano ya wapinzani liwe kosa kisheria tuone
 
Lema atarudia ujambazi,akikosa ubunge 2020,wananchi wa arusha wamemchoka kazi kufanya vurugu tu bungeni,badala ya kusema shida na matatizo ya wananchi wa arusha.
Ndio hao hao waliokusanyika hapo wanamsikiliza kwa makini?? Lema atashindwa kwa mtutu wa polisi na wasiojulikana lakini sio kwa Kura za wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…