Lema Atikisa Arusha

Hiyo ni laana mtu anapigishwa vigelegele siku nzima kisha anaishia kuzulumiwa..ccm haifai
 
Tangu awe mbunge hakuna alichofanya zaidi ya kugawa zipe picha zake akipumuliwa
Lema atarudia ujambazi,akikosa ubunge 2020,wananchi wa arusha wamemchoka kazi kufanya vurugu tu bungeni,badala ya kusema shida na matatizo ya wananchi wa arusha.
 
pole yake kamanda rpc wa pale,ataulizwa na kamati maalumu kwanini hakufanya fitina ! Go Lema
 
Utampendaje mwanaume mwenzako, mke wake akikusikia ndo utajuwa, sema unamkubali angalau iko sawa. Tuanze kupunguza maneno ya sifa kwa wanasiasa ili wafanye kazi walizotumwa.
Sifa kuu ziende kwa Mwenyekiti na mpendwa wetu tu na zingine kwa viongozi wengine was Chama cha Kijani ambacho wanachama wake damu yao ni kijani pia.
 
Huwezi amini hako kaeneo kalivyo kadogo pamoja na kuwa na magari mengi sana lakini kimeshindwa kabisa kufurika, kuchokwa kubaya.
unajidhalilisha makusudi kwa faida ya nani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…