Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Hee sasa kama Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa hajui muafaka huu muafaka ulifikiwaje? Pia najiuliza mbona taarifa imetolewa na Lema kisha ndio Mbowe anasema hatambui muafaka? Huu muafaka tumeusikia kama siku tatu hivi zilizopita mbona uongozi wa CHADEMA Taifa ulikuwa kimya hadi Lema atoe taarifa kama Lema na wala si taarifa ya Chama? Kuna mengi ya kujiuliza hapa.