Hiii team imenfanya nimuamin jamaa m1 anaitwa shafii dauda ni mchambuzi wa ukweli wa mpira..yaani kabla league haijaanza aliulizwa unahisi team gani itakuwa tishio akajbu Leicester city..nlizalau uchambuzi ule ila sas nmemuamin,jamaa cjui aliwaftlia vipi akawajua vile