Leaving You While I Still Love You...

Hahahahahhahaa umenikumbusha nilikutana na mkaka mmoja aliniambiaga maneno haya haya uliyosema kuhusu wanawake wa kinyamwezi. Nikamwambia usituchukulie poa.... hasa mie naweza toka nje ya mipaka ukastaajabu. Hakunielewa. ... tulikuwa marafiki mwisho tukawa wapenzi... akaanza kuchukua poa kuhusu wanawake wa kinyamwezi tulivyo, siku ya siku alikuja stuka yuko mwenyewe na vidosho wake mie ala sina time nae ila tukikutana namsabahi kama hajawahi nifanyia ubaya. Akinipigia simu napokea kwa sauti nzuri na tunaongea vizuri tuu ila mahaba ndo hayupo tena. Tunachati vizuri tuu ila not anymore as before.

I always move on...
kasie, binti wa kinyamwezi unae upelekesha moyo wangu.

Nifanye nini mie mtoto wa kuchaga karata zangu zichangike kwa huyu binti??????

Ntakufa na ukimya wangu walahi
 
Mi English ya class na ktk newspaper huwa sielewi... lakini hizi za romantic huwa naelewa sana..! I don't know why

Hahahahaaa looh, sasa ukamate financial times newspaper au the east Africa newspaper nglish yake kama hujatulia utakuwa kama unasoma Biblia. Walau the citizen nglish yao si kali sana. Daily news na guardian nao wako fair.

Ila ukijizoesha kusoma hayo magazeti kila leo unaongeza terminologies.
 
kasie, binti wa kinyamwezi unae upelekesha moyo wangu.

Nifanye nini mie mtoto wa kuchaga karata zangu zichangike kwa huyu binti??????

Ntakufa na ukimya wangu walahi

Hahahahaaa usife na ukimya bana, halafu mahaba unamuacha nani?

Sio kwa ubaguzi, ila wewe ni mchaga wa wapi? Halafu ntakwambia kitu.
 
Hahahahaaa usife na ukimya bana, halafu mahaba unamuacha nani?

Sio kwa ubaguzi, ila wewe ni mchaga wa wapi? Halafu ntakwambia kitu.
Mimi mkibosho mama, sina makuu wala mawaa!!
Napita tu nikisom nyuzi zako huku moyo ukienda mbiyo.

Nikija PM naandika na kufuta nikihairisha siku nyingine nitasema jambo.

Leo nasema huku hofu imenijaa ya kukataliwa.
Hakika sistahili kupenda ten
 
Mimi mkibosho mama, sina makuu wala mawaa!!
Napita tu nikisom nyuzi zako huku moyo ukienda mbiyo.

Nikija PM naandika na kufuta nikihairisha siku nyingine nitasema jambo.

Leo nasema huku hofu imenijaa ya kukataliwa.
Hakika sistahili kupenda ten

Hahahahhaa acha fujo bana....
Hebu njoo PM bila uoga uone Kasie wa chumbani yukoje. ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom