Leaving Certificate ina Kazi gani?

Leaving Certificate ina Kazi gani?

Joined
Feb 12, 2020
Posts
21
Reaction score
25
Habari wadau wa Elimu.

Naomba kufahamishwa ile Leaving Certificate unayopatiwa baada ya kuhitimu kidato cha nne au cha sita.

Ina kazi tena baada ya kuwa umeshapata na vyeti halisi vya kuhitimu?

Yaani bado Leaving Certificate zitakuwa zinatumika hata kama na cheti cha NECTA unacho?
 
Hii kwa miaka ya nyuma ambapo kupata cheti cha iv ni issue, basis wale failure wrote walikuwa wanatumia Leaving ili kujitambulisha kuwa wamesoma Secondary school hapo hawajafaulu
 
Ni uhakikisho kuwa mhusika amesoma hadi kufikia level husika. Kama hukufaulu au hukuendelea na masomo zaidi ya kiwango kilicho andikwa hapo basi hilo ndio gamba lako la kuoyesha elimu yako imekomea wapi lakini hukufaulu kwa vigezo vilivyowekwa..
 
Back
Top Bottom