Sijaona nguo ya kubana au isiyo na heshima....Hivi washawai kuona msambwanda uliobanwa na pedopusha? bashiru kakata shingo ila FA kaona hakuna jipya ndio maana hata hakugeuza shingo.
Sijaona nguo ya kubana au isiyo na heshima....Hivi washawai kuona msambwanda uliobanwa na pedopusha? bashiru kakata shingo ila FA kaona hakuna jipya ndio maana hata hakugeuza shingo.
Huyu Magige aliyekwenda kufanya vurugu kwenye kifo cha mchumba wake ambaye ni mume wa mtu mbona huwa anajiachia tu bila wasiwasi tena huko huko bungeni? Au kwa kuwa ni pisi?