Wamesahau hata anayetoka ikulu alikua kwenye list of shame..Mkapa alifungua kampuni akiwa Ikulu...kwa kifupi ishageuzwa pango la walanguzi siku nyiingi
Wamesahau hata anayetoka ikulu alikua kwenye list of shame..Mkapa alifungua kampuni akiwa Ikulu...kwa kifupi ishageuzwa pango la walanguzi siku nyiingi
kasome ilani ya chadema(ukawa) na rasimu ya pili ya katiba ya wananchi, ndo anachoenda kufanyia kazi Lowassa, deal litatoka wap? bunge linalokuja sio kama lile mlilozoea la kulindana kisa ni wana ccm
kasome ilani ya chadema(ukawa) na rasimu ya pili ya katiba ya wananchi, ndo anachoenda kufanyia kazi Lowassa, deal litatoka wap? bunge linalokuja sio kama lile mlilozoea la kulindana kisa ni wana ccm
kasome ilani ya chadema(ukawa) na rasimu ya pili ya katiba ya wananchi, ndo anachoenda kufanyia kazi Lowassa, deal litatoka wap? bunge linalokuja sio kama lile mlilozoea la kulindana kisa ni wana ccm
Waambie Tanzania ni yetu sote; safari hii tunaamua wenyewe hatima ya maisha yetu badala ya kuamuliwa na kikundi cha watu chini ya mia wanaodhani wana hati miliki ya nchi hii. Kura anapewa Lowassa hata kama uamuzi huo utakuwa shida kwetu ilimradi safari hii tumeamua wenyewe; watu wametuamulia miaka 50 na bado tunalialia tukilia kwa maamuzi yetu wenyewe ni afadhali zaidi.
wanaotegemea kusoma chuo kikuu bure, hawafikiri hata pesa za accomodation wataztoa wapi,wakati pesa za accomodation ktk coz zingne ni kubwa kuliko ada, hawafikiri hata kama kuna vyuo vya private cjui watajilipia ada huko.