Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Hakuna Chama cha Siasa kinachoweza kutawala milele. Tutunge sheria kulinda haki na uhuru wa Vyama vya Siasa kujiendesha kwa dhamana na utashi wa wanachama wao. Nawasihi sana WABUNGE na SERIKALI kuutazama upya MUSWADA wa SHERIA ya Vyama Vya Siasa. USIPITISHWE kuwa sheria. HAUFAI.