Hapa bavicha ndo manadhihirisha kuwa mmejawa na ukabila maanina zenu,Ikulu mtapasikia tuuMtu yeyote akijitambua CCM wanamwona hawafai
Nyalandu umechagua fungu lililo Bora
Wana singida kaskazini sasa watakuona mtu wa maana ..
Ni bora kusimama na ndugu yako.Mnyaturu Mwenzako LISSU..Ni kaka yako wa damu huyo.Kuliko kuandamana na miskuma ya huko wai sijui isiyo na utu
sasa ukabila nchi hii mbona unadumishwa kipindi hiki.Jiulize teuzi zote mbona ngosghazHapa bavicha ndo manadhihirisha kuwa mmejawa na ukabila maanina zenu,Ikulu mtapasikia tuu
CCM hainatofauti na wachawi wanaofuga mandondocha.Mtu yeyote akijitambua CCM wanamwona hawafai
Nyalandu umechagua fungu lililo Bora
Wana singida kaskazini sasa watakuona mtu wa maana ..
Ni bora kusimama na ndugu yako.Mnyaturu Mwenzako LISSU..Ni kaka yako wa damu huyo.Kuliko kuandamana na miskuma ya huko wai sijui isiyo na utu
atawaachia..yaani unategemea mtu amuache nduguye afuate miskuma ya wapi sijui huko yenye miroho mibayaaaaaKama Nyalandu kauweka unyaturu mbele kabla ya chama atuachie mkia wetu mapema
Chama cha mapinduzi hakijajengwa ktk misingi ya kikabila,kama kilivyo chama cha demokrasia(japo ni ya uongo)na maendeleo ambacho kimeasisiwa na watu wanaohusudu ukabila umangi meza na ubangi shari.atawaachia..yaani unategemea mtu amuache nduguye afuate miskuma ya wapi sijui huko yenye miroho mibayaaaaa
sawa.endeleeni.Lakini ndio tushakuambia.Damu nzito kuliko majiChama cha mapinduzi hakijajengwa ktk misingi ya kikabila,kama kilivyo chama cha demokrasia(japo ni uongo)na maendeleo ambacho kimeasisiwa na watu wanaohusudu ukabila umangi meza na ubangi shari.
Si kweli mbona Anna mughwira alipewa shavu na Mkumbo wake tatizo lenu ni "tunnel vision"Watanzania tunajinadi hatuna ukabila lakini ubaguzi wa vyama vya siasa tunawazidi wenye ukabila tena kwa mbali sana
Chonganishi tena!Ramli.
Kama wangekuwa huko unyaturuni huenda hata wasingejuana huenda hata wangerogana Damu nzito gani sasa?sawa.endeleeni.Lakini ndio tushakuambia.Damu nzito kuliko maji
hujui ukisemacho .pole.kama hadi wanyaturu wamebadilika.Hamna leo nyie CCM MajangiliKama wangekuwa huko unyaturuni huenda hata wasingejuana huenda hata wangerogana Damu nzito gani sasa?
Pale juu nilikupa "like" ila nimeiondoa baada ya kusoma comment hii!Kingu na Mwigulu ni Wanyiramba
Nyalandu na Lissu ni Wanyaturu
Wanyiramba huwa wanasifika kwa roho mbaya
Kwa hapa namuona Lazaro akisimama na ndugu yake Lissu..Mnyaturu Mwenzake
Namlilia Mritaba Mungu ampe nguvu haraka ili tulijenge taifa letu Tanzania.Aliekwambia wamefundishwa nani,wenyewe kwa wenyewe mnaliungurumisha,
Heri mkabila CHADEMA kuliko MKOSA UTU CCM. nadhani uzifahamu sifa za kutokuwa na utu,Nyarandu kaonyesha yeye ni binaadam na ana utu,chama kizima mnamuandama,ukikikosa utu unakuwa mfuasi wa ibilisi rasmi.