ambiliki
Member
- Jun 26, 2013
- 80
- 46
Kama Waziri wa Usafirishaji yupo humu au kuna mtu anaweza mfikishia ujumbe huu, latra ambao walikuwa Sumatra zamani , wamekuwa wababaishaji na wasubufu. Kwanza hawafanyi kazi kwa weledi ,pili wametengeneza mianya ya kutokuwajibika na kupoteza mapato kwa Serikali mfano
1: Ukienda ofisini kwa wanakutuma kwa watu wanao wajuwa wao
2: Ukienda kwa hao watu uwalipe na Bado ulipe latra na hupatiwe huduma kwa haraka ,hivyo kuchelewesha biasha ya usafirishaji na hivyo kuokosesha serikali mapato
3: Huduma ya kimtando kuwa mbovu wakati wote
NB: Waziri muhusika turudishie utaratibu wa zamani ulikuwa haraka na wakujali muda ,tuondolee huu uchafu wa latra
1: Ukienda ofisini kwa wanakutuma kwa watu wanao wajuwa wao
2: Ukienda kwa hao watu uwalipe na Bado ulipe latra na hupatiwe huduma kwa haraka ,hivyo kuchelewesha biasha ya usafirishaji na hivyo kuokosesha serikali mapato
3: Huduma ya kimtando kuwa mbovu wakati wote
NB: Waziri muhusika turudishie utaratibu wa zamani ulikuwa haraka na wakujali muda ,tuondolee huu uchafu wa latra