Mipango imefeli mkuuShida nini mkuu?
WeuweeeeeNdiyo hata wewe pamoja na kitambi chako hicho siku ukiachwa utapiga makelele [emoji3][emoji3]
Sawa.Basi nipotezee mkuu, hamna mkate mgumu mbele ya chaii🙄🙄
Na k vant umeshikia nini?Nakatia K vant kitandani,mkono moja umeshika simu mwingine nagusa gusa tako la mama watoto kuboost mood yangu
Nije?!Hakuna kinachofaa
Hapa nimelala sakafuni
NjooNije?!