Mi yakwangu imezima ghafla tu,haiwaki kabisaa,ilianza kupiga kelele kama gari inarudi Rivasi huku ikiwaka taa na kuzima,mpaka leo kimyaa..sijui tatizo nini.Nisaidieni
Mi yakwangu imezima ghafla tu,haiwaki kabisaa,ilianza kupiga kelele kama gari inarudi Rivasi huku ikiwaka taa na kuzima,mpaka leo kimyaa..sijui tatizo nini.Nisaidieni
Mi yakwangu imezima ghafla tu,haiwaki kabisaa,ilianza kupiga kelele kama gari inarudi Rivasi huku ikiwaka taa na kuzima,mpaka leo kimyaa..sijui tatizo nini.Nisaidieni
Huenda imekufa au tafuta fluid pakaa kwenye processor na safisha CPU fan kama isipowaka..tafuta processor mpya lkn nakushauri bora ununue laptop mpya kuliko kununua processor