Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Habari za muda huu leo nilikuwa najiuliza kwanini pc yangu haipate update ya window 11 ingali vigezo vyote vinavyo kama TPM 2 generation ya 8 RAM 8 na kila kitu sasa ikanibidi nichunguze zaidi nikaja kuona kumbe BIOS ni legacy na bios ni unsupport ningependa kuulize je kunauwezekana wakubadilisha au ndio siwezi pata tena window 11??
Chief-Mkwawa kama na wewe unajua watu wakali wa hizi kazi naomba watag maana mm nimekwama hapa sijui nifate step gani ili nisolvd
Chief-Mkwawa kama na wewe unajua watu wakali wa hizi kazi naomba watag maana mm nimekwama hapa sijui nifate step gani ili nisolvd