Offer rejectedMkuu nimekujibu PM
Niongeze sh. ngapi kwenye hiyo offer yangu?
Ipo sony vio PROESOR 2 DUAL CORENahitaji kompyuta mpakato yenye sifa zifuatazo:
Brands: Dell au Hp
Processor: Core i3 2.2Ghz au zaidi
Ram: 4gb au zaidi
Hard drive disc: angalau 500gb
Screen size: 15" au zaidi
Ukiwa kanda ya ziwa kwa maana ya Mwanza, Shinyanga, Geita itakuwa poa zaidi
@ Ndebile chukua hiiIpo sony vio PROESOR 2 DUAL CORE
HDD 1 TB
RAM 4 GB
BETRIE 3 HOURS
SCREEN 15.6 INCH
PRICE 380,000/=
LOCATION MAGU,MWANZAView attachment 2119577
sent from HUAWEI
Generation ya ngapi, graphics card ngapi.Ninayo HP
RAM 4 GB
HDD 500 GB.
Core i7.
Bajet yako kias gan Kwanza?
Mkuu @Kanyengelo nimekuelewa Sana na hivi tupo majirani, vipi 300,000/ inakulipa tufanye biashara?Ipo sony vio PROESOR 2 DUAL CORE
HDD 1 TB
RAM 4 GB
BETRIE 3 HOURS
SCREEN 15.6 INCH
PRICE 380,000/=
LOCATION MAGU,MWANZAView attachment 2119577
sent from HUAWEI
Siwez kuchukua hiyo pesa. Picha utazipata460,000 niagize mtu wangu aje alipie mkuu...ila hata picha hujaweka mkuu!
Nimekutumia namba ya simu PM kwa ajili ya picha za PC nk
Mkuu una customer care nzuri, hahaha!!...nitumie picha haraka kabla hii pesa sijaipangia matumizi mengine! Pia hujaniambia uwezo wake wa kukaa na chaji pamoja na screen size.Siwez kuchukua hiyo pesa. Picha utazipata
Nipo igoma mwanza. Tuwasiliane chap 0713096076 nikusaidie kutangaza biasharaIpo sony vio PROESOR 2 DUAL CORE
HDD 1 TB
RAM 4 GB
BETRIE 3 HOURS
SCREEN 15.6 INCH
PRICE 380,000/=
LOCATION MAGU,MWANZAView attachment 2119577
sent from HUAWEI
ukitaka pc mzuri wacheki Digxam niliagiza pc ndani ya week moja ,vitu vyao vyote ni genuine ingia kwenye website yao kwenye forum /tafuta buness forums /tafuta jukwaa la Japan /urgently wanted/create topic weka hizo specification zako utapa pc mzuri utanishukuru siku moja kwingine utalia.Nahitaji kompyuta mpakato yenye sifa zifuatazo:
Brands: Dell au Hp
Processor: Core i3 2.2Ghz au zaidi
Ram: 4gb au zaidi
Hard drive disc: angalau 500gb
Screen size: 15" au zaidi
Ukiwa kanda ya ziwa kwa maana ya Mwanza, Shinyanga, Geita itakuwa poa zaidi
Nahitaji kompyuta mpakato yenye sifa zifuatazo:
Brands: Dell au Hp
Processor: Core i3 2.2Ghz au zaidi
Ram: 4gb au zaidi
Hard drive disc: angalau 500gb
Screen size: 15" au zaidi
Ukiwa kanda ya ziwa kwa maana ya Mwanza, Shinyanga, Geita itakuwa poa zaidi
Nahitaji kompyuta mpakato yenye sifa zifuatazo:
Brands: Dell au Hp
Processor: Core i3 2.2Ghz au zaidi
Ram: 4gb au zaidi
Hard drive disc: angalau 500gb
Screen size: 15" au zaidi
Ukiwa kanda ya ziwa kwa maana ya Mwanza, Shinyanga, Geita itakuwa poa zaidi
Mkuu nilipata, Asante sana!Habari ya jioni kiongozi, ulipata laptop ulokua unahitaji, kama bado Wasiliana nami nikusaidie tuna chain of Laptops/computer na bei zetu ni nafuu sana.
Tunapatikana DSM na kama utakua na mtu aliyekuwepo huku itakua vzr umunge aje ofisi kuangalia utakayo ipenda na kusimamia utumaji mpaka kufikia ulipo.
Wasiliana nasi Kwa namba 0744698283
Karibu sana
Laki tano unapata kompyuta ya mtumba safi kabisa.Ukiwa japo na 500,000 nakupa