Laptop Used Inahitajika Haraka

Ndebile

JF-Expert Member
Sep 14, 2011
7,237
9,871
Nahitaji kompyuta mpakato yenye sifa zifuatazo:

Brands: Dell au Hp
Processor: Core i3 2.2Ghz au zaidi
Ram: 4gb au zaidi
Hard drive disc: angalau 500gb
Screen size: 15" au zaidi

Ukiwa kanda ya ziwa kwa maana ya Mwanza, Shinyanga, Geita itakuwa poa zaidi
 
Ninayo HP
RAM 4 GB
HDD 500 GB.
Core i7.
Bajet yako kias gan Kwanza?
 
Ipo sony vio PROESOR 2 DUAL CORE
HDD 1 TB
RAM 4 GB
BETRIE 3 HOURS
SCREEN 15.6 INCH
PRICE 380,000/=
LOCATION MAGU,MWANZA

sent from HUAWEI
 
Siwez kuchukua hiyo pesa. Picha utazipata
Mkuu una customer care nzuri, hahaha!!...nitumie picha haraka kabla hii pesa sijaipangia matumizi mengine! Pia hujaniambia uwezo wake wa kukaa na chaji pamoja na screen size.
Nakulipa hiyo 500,000/
 
ukitaka pc mzuri wacheki Digxam niliagiza pc ndani ya week moja ,vitu vyao vyote ni genuine ingia kwenye website yao kwenye forum /tafuta buness forums /tafuta jukwaa la Japan /urgently wanted/create topic weka hizo specification zako utapa pc mzuri utanishukuru siku moja kwingine utalia.
 

Habari ya jioni kiongozi, ulipata laptop ulokua unahitaji, kama bado Wasiliana nami nikusaidie tuna chain of Laptops/computer na bei zetu ni nafuu sana.

Tunapatikana DSM na kama utakua na mtu aliyekuwepo huku itakua vzr umunge aje ofisi kuangalia utakayo ipenda na kusimamia utumaji mpaka kufikia ulipo.

Wasiliana nasi Kwa namba 0744698283
 

Habari ya jioni kiongozi, ulipata laptop ulokua unahitaji, kama bado Wasiliana nami nikusaidie tuna chain of Laptops/computer na bei zetu ni nafuu sana.

Tunapatikana DSM na kama utakua na mtu aliyekuwepo huku itakua vzr umunge aje ofisi kuangalia utakayo ipenda na kusimamia utumaji mpaka kufikia ulipo.

Wasiliana nasi Kwa namba 0744698283

Karibu sana
 
Mkuu nilipata, Asante sana!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…