Fundi rangi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2014
- 3,527
- 1,210
Ndg, mimi ni mfanya biashara mwenzio, nina matangazo zaidi ya 10 tofauti, sijawahi kumjibu mteja vibaya, zaidi huwa nawashukuru. sababu ya kwanza kuwashukuru hususani wale wanao kebehi au kutukana, huwa wana update tangazo langu pasipo wao kujua.Acha kukurupuka!!
Me sirembi matangazo ili kuvutia watu, huwa cpigi mayowe mkuu...sababu naamin wenye uhitaji wa bidhaa bora wataona wenyewe!
By the way wewe sio mteja wala mshauri wa wafanya biashara so pita kushoto hii haikuhusu!!!
Hawa watu wapo, lakini inapo fikia hatua unaitangazia biashara jamii usiyo kujua inakuangalia kwa jicho la3, lakini pia huwa naamini waleta mizaha au watukanaji wa leo ndiyo wateja wa kesho, usipoteze muda kujibizana na mtu tena usiye mjua, lakini pia costumer care inabidi ionekane katika matangazo yetu. vinginevyo pasipo kujua tutajikuta tuna zitangaza tabia zetu badala ya kutangaza tulicho kikusudia. Nakutakia biashara njema