Kafiti
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 538
- 220
Habari humu ndani,
Nina tatizo la laptop hp compaq presario iliingia maji muda mrefu kidogo, nikaifungua na kuisafisha na vifaa vingi vinafanya kazi nimejaribisha kwenye laptop nyingine, Ram, Display, Processor, Hdd, Keyboard, Fan nk..
Lakini tatizo lake ukiiwasha inawaka powerbutton lights , keyboard wifi light na feni kama sekunde 3 tu hivi then inazima, display haionyeshi chochote, taa ya powerin inaendelea kuwaka tu kama nikiwa nimeichomeka kwenye charge....
Msaada Hapo tatizo laweza kuwa nini na kuna fundi wa hiyo tatizo,,,,
Nilijaribu kuhamisha hiyo motherboard kwenye laptop nyingine nikakuta bado tatizo ni hilohilo..
(255) 754 458 218 (Dar es Salaam)
Nina tatizo la laptop hp compaq presario iliingia maji muda mrefu kidogo, nikaifungua na kuisafisha na vifaa vingi vinafanya kazi nimejaribisha kwenye laptop nyingine, Ram, Display, Processor, Hdd, Keyboard, Fan nk..
Lakini tatizo lake ukiiwasha inawaka powerbutton lights , keyboard wifi light na feni kama sekunde 3 tu hivi then inazima, display haionyeshi chochote, taa ya powerin inaendelea kuwaka tu kama nikiwa nimeichomeka kwenye charge....
Msaada Hapo tatizo laweza kuwa nini na kuna fundi wa hiyo tatizo,,,,
Nilijaribu kuhamisha hiyo motherboard kwenye laptop nyingine nikakuta bado tatizo ni hilohilo..
(255) 754 458 218 (Dar es Salaam)