Mr. Politician
Member
- May 16, 2008
- 74
- 7
Naomba ushauri kuhusu Land Rover Discovery V8 ya 1997 sana sana kwenye matumizi ya mafuta na spea
utalia ushuru wake..hiyo gari cif ni usd 3100 lakin ushuru wake ni 9.6m
utalia ushuru wake..hiyo gari cif ni usd 3100 lakin ushuru wake ni 9.6m
Kaka mtake radhi jamaaaSpea zake zipo za kumwaga tu pale Auto Rover Libya street Dar es salaam, na kuhusu fuel kama umejipanga kununua gari hiyo ni utoto kuuliza kuhusu fuel cosumption, huo ni uppuzi.
Kama uwezo wako ni mdogo nunuwa starlet ndio ya kiwango chako. ni upumbavu kutaka kununua Range Rover Vogue halafu utuulize kuhusu fuel consumption.
Naomba ushauri kuhusu Land Rover Discovery V8 ya 1997 sana sana kwenye matumizi ya mafuta na spea
Spea ziko za kumwaga libya street, na mafuta inakula wastani, depending na uko safarini au uko kwenye foleni za mjini. Ila ni gari nzuri sana na ziko durable
Spea zake zipo za kumwaga tu pale Auto Rover Libya street Dar es salaam, na kuhusu fuel kama umejipanga kununua gari hiyo ni utoto kuuliza kuhusu fuel cosumption, huo ni uppuzi.
Kama uwezo wako ni mdogo nunuwa starlet ndio ya kiwango chako. ni upumbavu kutaka kununua Range Rover Vogue halafu utuulize kuhusu fuel consumption.
Badala ya kumwaga matusi kwa muuliza swali, ilipasa umuelimishe kwa kujibu maswali yake.
Jibu lako lingekuwa
Spea zake zipo za kumwaga tu pale Auto Rover Libya street Dar es salaam, na kuhusu fuel kama umejipanga kununua gari hiyo basi utumiaji wa mafuta isiwe kigezo.
Mr. Politician, kuhusu fuel consumption tegemea an average of 6.5km per litre at normal driving speeds. With the traffic ques in Dar basi consumption itakuwa kubwa zaidi and the distance covered per litre will be lower.
Nilikuwa sijiu kama upumbavu ni tusi, nilikuwa najuwa kuna watu wenye sifa ya kuitwa hivyo kwa wakati husika, na labda sasa niongee kwa kukupendezesha wewe ili ufurahi, kama umefikiwa kiwango cha kumiliki gari mafuta sio issue, na kama wewe ni economy basi nunuwa Bajaj shida iko wapi?
Nilikuwa sijiu kama upumbavu ni tusi, nilikuwa najuwa kuna watu wenye sifa ya kuitwa hivyo kwa wakati husika, na labda sasa niongee kwa kukupendezesha wewe ili ufurahi, kama umefikiwa kiwango cha kumiliki gari mafuta sio issue, na kama wewe ni economy basi nunuwa Bajaj shida iko wapi?
giLESI ile ya kwako ni diesel au essence?Inakula sana mafuta, ila ni nzuri kwa safari
Spea zake zipo za kumwaga tu pale Auto Rover Libya street Dar es salaam, na kuhusu fuel kama umejipanga kununua gari hiyo ni utoto kuuliza kuhusu fuel cosumption, huo ni uppuzi.
Kama uwezo wako ni mdogo nunuwa starlet ndio ya kiwango chako. ni upumbavu kutaka kununua Range Rover Vogue halafu utuulize kuhusu fuel
consumption.