Land Rover Discovery 3 2.7TD V6 auto 2005MY HSE!!

Jambazi

JF-Expert Member
Jan 18, 2014
16,642
18,636
15873218_1370064243051994_3621954005836962941_n.jpg
 
Too old...2005 ni miaka 12 imepita. Ukinunua hilo gari weka akiba 10m kuliweka sawa. Haya magari yakifikisha miaka 10 vitu vingi huwa vinatakiwa kubadilishwa.

Hilo discovery 3 linatumia air suspension kwa umri huo zinakusubiri, ikiwa UK hamna shida lami hadi kibarazani. Ukilileta bongo na umri huo miezi mitatu tu hizo air suspension zinakupasukia msala wako huo si chini ya 3m set nzima.

Compressor na condensor ya AC, radiator ikifika bongo miezi michache lazima uvibadili kwasababu UK kuna baridi kwahio AC inatumika mara chache sana kwa mwaka, ikija bongo inatumika 24/7 365! Lazima itumbuke. ILA UKIFANIKIWA KUBADILI KINACHOHARIBIKA NI MKATABA.

USHAURI:Ukinunua magari ya ULAYA jitahidi lisizidi miaka 7 ndio at least uta-enjoy for few yeras kabla hujamuuzia mtu! Kwa maana hio usninunua lililo chini ya 2010 otherwise ni kamari!
 
Too old...2005 ni miaka 12 imepita. Ukinunua hilo gari weka akiba 10m kuliweka sawa. Haya magari yakifikisha miaka 10 vitu vingi huwa vinatakiwa kubadilishwa.

Hilo discovery 3 linatumia air suspension kwa umri huo zinakusubiri, ikiwa UK hamna shida lami hadi kibarazani. Ukilileta bongo na umri huo miezi mitatu tu hizo air suspension zinakupasukia msala wako huo si chini ya 3m set nzima.

Compressor na condensor ya AC, radiator ikifika bongo miezi michache lazima uvibadili kwasababu UK kuna baridi kwahio AC inatumika mara chache sana kwa mwaka, ikija bongo inatumika 24/7 365! Lazima itumbuke. ILA UKIFANIKIWA KUBADILI KINACHOHARIBIKA NI MKATABA.

USHAURI:Ukinunua magari ya ULAYA jitahidi lisizidi miaka 7 ndio at least uta-enjoy for few yeras kabla hujamuuzia mtu! Kwa maana hio usninunua lililo chini ya 2010 otherwise ni kamari!
Kwenye mambo ya Magari huwa nakukubali sana Mkuu RRONDO
 
Too old...2005 ni miaka 12 imepita. Ukinunua hilo gari weka akiba 10m kuliweka sawa. Haya magari yakifikisha miaka 10 vitu vingi huwa vinatakiwa kubadilishwa.

Hilo discovery 3 linatumia air suspension kwa umri huo zinakusubiri, ikiwa UK hamna shida lami hadi kibarazani. Ukilileta bongo na umri huo miezi mitatu tu hizo air suspension zinakupasukia msala wako huo si chini ya 3m set nzima.

Compressor na condensor ya AC, radiator ikifika bongo miezi michache lazima uvibadili kwasababu UK kuna baridi kwahio AC inatumika mara chache sana kwa mwaka, ikija bongo inatumika 24/7 365! Lazima itumbuke. ILA UKIFANIKIWA KUBADILI KINACHOHARIBIKA NI MKATABA.

USHAURI:Ukinunua magari ya ULAYA jitahidi lisizidi miaka 7 ndio at least uta-enjoy for few yeras kabla hujamuuzia mtu! Kwa maana hio usninunua lililo chini ya 2010 otherwise ni kamari!
Mkuu vipi kuhusu landrover discovery TD5
 
Too old...2005 ni miaka 12 imepita. Ukinunua hilo gari weka akiba 10m kuliweka sawa. Haya magari yakifikisha miaka 10 vitu vingi huwa vinatakiwa kubadilishwa.

Hilo discovery 3 linatumia air suspension kwa umri huo zinakusubiri, ikiwa UK hamna shida lami hadi kibarazani. Ukilileta bongo na umri huo miezi mitatu tu hizo air suspension zinakupasukia msala wako huo si chini ya 3m set nzima.

Compressor na condensor ya AC, radiator ikifika bongo miezi michache lazima uvibadili kwasababu UK kuna baridi kwahio AC inatumika mara chache sana kwa mwaka, ikija bongo inatumika 24/7 365! Lazima itumbuke. ILA UKIFANIKIWA KUBADILI KINACHOHARIBIKA NI MKATABA.

USHAURI:Ukinunua magari ya ULAYA jitahidi lisizidi miaka 7 ndio at least uta-enjoy for few yeras kabla hujamuuzia mtu! Kwa maana hio usninunua lililo chini ya 2010 otherwise ni kamari!
Nimekuelewa sana mkuu
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom