kambitza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 2,045
- 1,312
Nabembea
Wanamuziki wachache wenye vipaji nchi hii ni pamoja na huyu kijana Ditto
Ukimsikiliza nyimbo zake ni kama kilevi kinacholevya taratibuuuu anakuchukua kidogo kidogo ukija kushtuka umelewa njwiiiiii
Kama ile Moyoo sukuma damu si vingineeee ilipotoka hadi leo haijaisha, Sasa hivi amenimaliza kabisa na huu wimbo wake mpya bado nabembeaaa nipo hewaniiii nabembea.
Wimbo umetuliaaaaa mashairi, mapigo ya muziki inanikumbusha Soccer Rhumbaaa Dittto weweeee ni balaa ila bahati mbaya kwako ni kuzaliwa kipindi hiki tu cha makiki na maskendo kushika hatamu ya kuufanya wimbo uwe mkubwa shiiiiiiiiiiiiit
Kuna waimbaji wanatoa vinyimbo vibayaaaa vinakuzwa na skendo na kiiikiiis za kipuuzi tu ile isingekuwa hivyo usingeshikika
Huu wimbo nimeupenda sana
Wanamuziki wachache wenye vipaji nchi hii ni pamoja na huyu kijana Ditto
Ukimsikiliza nyimbo zake ni kama kilevi kinacholevya taratibuuuu anakuchukua kidogo kidogo ukija kushtuka umelewa njwiiiiii
Kama ile Moyoo sukuma damu si vingineeee ilipotoka hadi leo haijaisha, Sasa hivi amenimaliza kabisa na huu wimbo wake mpya bado nabembeaaa nipo hewaniiii nabembea.
Wimbo umetuliaaaaa mashairi, mapigo ya muziki inanikumbusha Soccer Rhumbaaa Dittto weweeee ni balaa ila bahati mbaya kwako ni kuzaliwa kipindi hiki tu cha makiki na maskendo kushika hatamu ya kuufanya wimbo uwe mkubwa shiiiiiiiiiiiiit
Kuna waimbaji wanatoa vinyimbo vibayaaaa vinakuzwa na skendo na kiiikiiis za kipuuzi tu ile isingekuwa hivyo usingeshikika
Huu wimbo nimeupenda sana