Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,651
- 218,131
Mbunge huyo anayemaliza muda wake ameamua kujitoa mara tu baada ya kurejesha fomu.
Haikutolewa sababu yoyote ya uamuzi huo mzito.
Chanzo: Watetezi TV
Angekuwa na nia ya kupumzika, asingetia nia. Huenda keshanusa mchezo mchafu.Afadhali apumzike
Propaganda!!Huyu aliishia darasa la pili kasi ya uchumi wa kati hataiweza!
Huyu aliishia darasa la pili kasi ya uchumi wa kati hataiweza!
Fomu za mwaka huu zina maswali magumu!Propaganda!!
Kuna tofauti ksti ya tsjiri na Dhulumati!Aaah wapi, amekywa tajiribkabla hata wazo la usanii wa uchumi wa kati halijazaliwa
Mfano?Fomu za mwaka zina maswali magumu!
Fomu za mwaka zina maswali magumu!
😆😆😆Hii sentesi, hata wawe mwenyewe unaielewa?