Lala salama lyrics by Diamond Platnumz

Lala salama lyrics by Diamond Platnumz

Chrix_Tz

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2015
Posts
880
Reaction score
1,101
[Intro]
Lala salama
Matatizo, chuki, lawama

[Chorus]
Ukilala lala salama, kumbatia picha yangu
Na kama ukinikumbuka sana nipigie simu yangu
Uki-ukilala lala salama, kumbatia picha yangu
Matatizo, chuki, lawama vumilia mpenzi wangu

[Verse 1]
Najua wivu ndo mapenzi, ila chunga usizidi
Si unajua kwako sijiwezi, ila dhiki mmebidi
Mi nilitamani sana mi kuwa nawe, tuwe wote usiku na mchana
Kilichonifanya mi nipagawe sina chochote cha kuwalisha wana
Niliupokea kwa unyonge msiba wa kaka Bonda
Ile barua yako ya mwisho ilinitonesha vidonda
Usije nilali kipenzi changu
Ukadhani nimekumbwa na pepo la starehe
Mambo bado magumu kwangu
Afadhali hata ya jana, ya kesho niombee.....


#Special kwa MABEBY zetu tuliombali nao..!!!
 
Mkuu hili song bhana huwa linanipa mzuuka wa kukomaa zaid kutafuta nikiwa out of muy country en napenda kuusikiliza unanipa motisha zaidi hata nikimkumbuka mubebez wang
Wenye mabeby walio mbali mnaitwa huku..
 
huyu "kaka bonda" ni yule mchora cartoon na pia rafiki wa Masoud Kipanya? kumbe alishafariki!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom