Lakini Mama...

Tabasamu nipate furaha, tutaacha kununa japo yataka moyo kwa wanaume km huyo baba yako wa ndotoni, story ya ndoto ni nzuri asante Mentor

Sikushauri uwe kama mama, ingawa kuna vya kujifunza.
 

Na akujalie kujua kipimo cha 'inatosha'.

Ila kwa vyovyote vile usiache kutabasamu!
 
Ila wamama wa kizazi kipya wataweka kila kitu kwenye mtandao.
Ila mama zetu wa enzi zile waliweka moyoni mambo yao.

Hii mitandao mkuu imetufanya washamba sana..wote wa kiume kwa wake!
 
Ila wamama wa kizazi kipya wataweka kila kitu kwenye mtandao.
Ila mama zetu wa enzi zile waliweka moyoni mambo yao.
Kwasababu hakukuwa na mitandao, kila zama na mambo yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…