golden heart
Member
- Jan 5, 2014
- 13
- 1
katika hili hakuna mkweli bungeni zaidi ni sawa na muomba kazi anayefanya kazi kwa maslahi yake mwenyewe.mwalmu analipwa lakitatu kwa mwezi hakuna anayemsikiliza bado anaishi na kile anacho pata.mbunge unadai laki tatu kwa siku ndogo inauma mkulima hata elfu kumi kwa siku nyingi hamuonei huruma zaidi ya kuchukua kodi katika kile anacho kitafuta kidogo na kukitumia ninyi mtuonee huruma selikari hii haina mapenzi na wananchi wake.