Laki si pesa, buku ni pesa

Laki si pesa, buku ni pesa

PRESIDA TO BE..

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2012
Posts
302
Reaction score
200
Ndugu wanaJamiiForums,

Nimekaa nikawazawazua mwenendo wa hali ya hewa inavyokwenda nikakakumbuka hako ka msemo ...ahahaaa

Siku hizi hata buku ni pesa hahaahhaaa

 
Hata waliozea kuishi kama malaika , buku 10 sasa pesa kwo, tunao huku mitaani
 
Eti wanajukwaa ni kweli kwa upepo huu wa sasa msemo wa "LAKI SI PESA"unatumika tena?
 
Back
Top Bottom