Laiti MCHAGA angekuwa RAIS...maendeleo ya nchi yangekuwa mbali sana

Mmakonde:

Sio watu wapo kwenye denial. Hila unajenga hoja kwa kutumia fallacies. Mambo yote unayosema kuwa mchagga kayafanya, Muhaya ameyafanya. Wana majumba makubwa kwenye mashamba kama vile wachagga. Wamesoma kama vile wachagga. Sasa kwanini umependekeze Mchagga na sio Muhaya?

Na kama criteria za kumpata rais ziwe zinajumlisha kabila lenye watu wenye nyumba nzuri na TV, basi vipo vikabila vidogo vidogo vyenye kufikia mambo hayo. Wahindi wa Tanzania ni kabila na wana maendeleo makubwa kuliko mchagga, wapeni urais.

Unasema wewe sio Mchagga, lakini una akili ya ku-observe na kutoa maoni. Hii pia haifanyi maoni yako yawe sahihi. Kwanza unafanya generalization. Pili huko subjective. Tatu unakiuka kanuni za kiuchumi.


Mhaya?Mhindi?
You are jocking!
 
wewe JACK "kazi ya kichwa ni kubeba akili na si masikio" kama unavyofanya.
husomi na kutafakari mimi nimesema asubuhi wewe unasema kwa siku!? kama MOSHI/ARUSHA ingekuwa karibu kama DAR -TANGA ndiyo ningelinganisha na MORO kwa siku, wewe ulitaka basi la ARUSHA litoke DAR mchana au jioni kama ilivyo hapo MORO?

Hivi IMPALA na NAURA SPRING ni hotel za MKWERE?

Wewe una akili za kushikiwa au ninakosea? OLD MOSHI na PUGU zinatofauti gani? ugonjwa uliopo old moshi ndio huo huo uko Pugu na umeletwa na hiyo serikali ya MKWERE.

Hospitali za dini kwani ni wapi ambapo hakuna dini?
kwanini dini hiyohiyo isijenge HOSP kama hizo mikoa mingine kwenye waumini wake?
wewe hauoni waumini wa huko wakishirikiana na viongozi wao ndio wameendeleza HOSP hizo? hata kama ni misaada kwanini ziwepo nyingi moshi tu?



Usiwe na bias naona katika yote niliyoyaandika uliyoyaona yanaupungufu ni haya tu? kwa hiyo hayo mengine umejifunza? kama ndivyo basi hilo ndilo lengo langu.
Wewe JACK huduma ya Hosp ya Mwananyamala, muhimbili zinatofauti gani na MAWENZI HOSP tatizo la hospitali ya MAWENZI ni serikali ya MKWERE na sio kazi.... rejea maandishi mekundu hapo juu.











/
 
wewe JACK "kazi ya kichwa ni kubeba akili na si masikio" kama unavyofanya.
husomi na kutafakari mimi nimesema asubuhi wewe unasema kwa siku!? kama MOSHI/ARUSHA ingekuwa karibu kama DAR -TANGA ndiyo ningelinganisha na MORO kwa siku, wewe ulitaka basi la ARUSHA litoke DAR mchana au jioni kama ilivyo hapo MORO?

Hivi IMPALA na NAURA SPRING ni hotel za MKWERE?

Wewe una akili za kushikiwa au ninakosea? OLD MOSHI na PUGU zinatofauti gani? ugonjwa uliopo old moshi ndio huo huo uko Pugu na umeletwa na hiyo serikali ya MKWERE.

Hospitali za dini kwani ni wapi ambapo hakuna dini?
kwanini dini hiyohiyo isijenge HOSP kama hizo mikoa mingine kwenye waumini wake?
wewe hauoni waumini wa huko wakishirikiana na viongozi wao ndio wameendeleza HOSP hizo? hata kama ni misaada kwanini ziwepo nyingi moshi tu?



Usiwe na bias naona katika yote niliyoyaandika uliyoyaona yanaupungufu ni haya tu? kwa hiyo hayo mengine umejifunza? kama ndivyo basi hilo ndilo lengo langu.
Wewe JACK huduma mbaya ya Hosp ya Mwananyamala, muhimbili zinatofauti gani na MAWENZI HOSP tatizo la hospitali ya MAWENZI ni serikali ya MKWERE na sio kazi.... rejea maandishi mekundu hapo juu.











/
 
wewe JACK "kazi ya kichwa ni kubeba akili na si masikio" kama unavyofanya.
husomi na kutafakari mimi nimesema asubuhi wewe unasema kwa siku!? kama MOSHI/ARUSHA ingekuwa karibu kama DAR -TANGA ndiyo ningelinganisha na MORO kwa siku, wewe ulitaka basi la ARUSHA litoke DAR mchana au jioni kama ilivyo hapo MORO?

Hivi IMPALA na NAURA SPRING ni hotel za MKWERE?

Wewe una akili za kushikiwa au ninakosea? OLD MOSHI na PUGU zinatofauti gani? ugonjwa uliopo old moshi ndio huo huo uko Pugu na umeletwa na hiyo serikali ya MKWERE.

Hospitali za dini kwani ni wapi ambapo hakuna dini?
kwanini dini hiyohiyo isijenge HOSP kama hizo mikoa mingine kwenye waumini wake?
wewe hauoni waumini wa huko wakishirikiana na viongozi wao ndio wameendeleza HOSP hizo? hata kama ni misaada kwanini ziwepo nyingi moshi tu?



Usiwe na bias naona katika yote niliyoyaandika uliyoyaona yanaupungufu ni haya tu? kwa hiyo hayo mengine umejifunza? kama ndivyo basi hilo ndilo lengo langu.
Wewe JACK huduma ya Hosp ya Mwananyamala, muhimbili zinatofauti gani na MAWENZI HOSP tatizo la hospitali ya MAWENZI ni serikali ya MKWERE na sio kazi.... rejea maandishi mekundu hapo juu.











/
 
Tukubali kuwa Wenzetu wanapenda maendeleo.Nenda popote mijini Tanzania utawakuta,wawe wamesoma au kutosoma.

Nenda Mpwapwa,Singida ,Babati utawakuta.Mnaweza kupata mshahara mmoja,lakini Mchaga anafikiria kujenga kidogo kidogo.Atakunywa bia moja muda mrefu anafikiria miradi.

Nilipofika Moshi ,O-level miaka ya 80s ,nilishangaa.Niliona nyumba nzuri tu,wakati kula nikatoka ,ni nyumba za nyasi na watu wanalalia ngozi.Kabla ya utitiri wa secondari sasa,Nafikiri kipindi kile K'manjaro ilikuwa inaongoza kwa shule za sekondari.Tukubali wengi walikwenda shule mapema.Kwa hiyo kikabila wako overrepresented katika fani mbali mbali ,udaktari,uhandisi,accountants etc.

Nafikiri tungekuwa na Mchaga,baada ya Nyerere may be nchi yetu ingekwenda mbele zaidi maana wenzetu tutake tusitake wanajua nini maana ya maendeleo.Nawafahamu watu fulani(makabila mengine) wananyumba nzuri Dar,lakini ukifika kijijini walipozaliwa utashangaa!

Nimefanya kazi na wachaga nawaelewa sana.

Wewe kumbe huwajui wachaga.Jamaa hawa wako interested na maendeleo yao binafsi na ndugu zao. Usishangae Mchaga akiwa Rais waka accumute all the countries wealth unto themselves.Wako selfish sana.Afadhali Mpare bahili kuliko Mchaga mwizi.
 
Mhaya?Mhindi?
You are jocking!

Sir, I feel truly liberated. Ninamthamini mtu kutokana na mchango wake wa jamii. Kuna polical analyst wetu, Rutashubanyuma. Katika kipindi cha uchaguzi uliopita alipigia debe sana CHADEMA. Lakini inawezekana siku akigombea nafasi yoyote utamtazama kutokana na kabila lake na sio mchango wake kwa taifa.

Mtazamo wako kuhusu Mhaya/Mhindi, unawakilisha mtazamo wa watu wengine kuhusu waChagga. Watataka mChagga alisichagua Mchagga mwingine kuwa waziri mkuu au waziri wa ulinzi. Na akifanya hivyo ataonyesha ukabila tayari.

Wachagga wanaendelea labda kwa sababu wanayo strong sense of personal responsibilities. Maendeleo yao hayategemei sana initiatives za serikali ambazo toka uhuru upatikane are total failures.

Kwa upande mwingine, mmakonde akipata elimu hataki kurudi nyumbani. Na akirudi nyumbani hamsaidii ndugu yake apate elimu. Anategemea serikali msomeshe kila mtu. Kwa mfano ulipokwenda Moshi na kuona wanavyofanya wachagga ulifanya nini kukopi maendeleo ya waChagga? Mkapa alimaliza digrii 1961, je alifanya nini kwao kabla ya kuwa rais?
 
Chagga=jews

Furahi,

Please, alama ya sawasawa ina maana kubwa sana. Mwache mchagga awe mchagga na usimlinganishe na jews. Hii ni kwa sababu hakuna siku mjews atajilinganisha na mchagga.
 
Alex masawe,babu sambeki,mushi a.k.a white,uswaa,dav mosha,sawaya hawa ndio wasomi wana Phd
 
Mmakonde,

..nadhani maendeleo yaliyopatikana UCHAGANI yanatokana na kilimo cha KAHAWA.

..bahati nzuri kwa hawa wenzetu zao la kahawa limekuwa stable[bei,uzalishaji] kwa muda mrefu sana, na halijawahi kuporomoka kama vile korosho au mkonge.

..suala lingine ni kwamba mkoloni hakuwakamata na kuwatumikisha Wachaga kama ilivyo kwa makabila mengine. It was more efficient/profitable kuwaachia Wachaga walime kahawa na mkoloni abakie na jukumu la ununuzi tu.

..kuna maeneo ya nchi hii ambayo yalirudishwa nyuma kimaendeleo kwasababu Mkoloni aliyatawala kikatili. yako maeneo ambayo walitaka kulima kahawa kama Wachaga, lakini kwasababu mkoloni alikuwa na idea nyingine na maeneo hayo basi alizuia jitihada hizo tena kwa mabavu.

..yako maeneo ambayo yalikuwa mahsusi kwa mashamba makubwa plantations. yako maeneo ambayo yalikuwa mahsusi kwa kukamata manamba. ilikuwa ni vigumu kwa wananchi wa maeneo hayo kuweza kujihusisha na shughuli binafsi.

..sasa unaweza kusema kwamba Mkoloni ameondoka miaka mingi mbona wananchi bado wako vilevile? jibu langu ni kwamba tumekuwa tukitawaliwa na serikali za hovyo-hovyo tangu tupate uhuru. hakuna hata moja iliyoweza kubadili maisha ya Mtanzania.

NB:

..maeneo yote ambako Kahawa inalimwa nchi hii wananchi wake wana ahueni ya kimaisha.
 
wewe JACK "kazi ya kichwa ni kubeba akili na si masikio" kama unavyofanya.
husomi na kutafakari mimi nimesema asubuhi wewe unasema kwa siku!? kama MOSHI/ARUSHA ingekuwa karibu kama DAR -TANGA ndiyo ningelinganisha na MORO kwa siku, wewe ulitaka basi la ARUSHA litoke DAR mchana au jioni kama ilivyo hapo MORO?

Hivi IMPALA na NAURA SPRING ni hotel za MKWERE?

Wewe una akili za kushikiwa au ninakosea? OLD MOSHI na PUGU zinatofauti gani? ugonjwa uliopo old moshi ndio huo huo uko Pugu na umeletwa na hiyo serikali ya MKWERE.

Hospitali za dini kwani ni wapi ambapo hakuna dini?
kwanini dini hiyohiyo isijenge HOSP kama hizo mikoa mingine kwenye waumini wake?
wewe hauoni waumini wa huko wakishirikiana na viongozi wao ndio wameendeleza HOSP hizo? hata kama ni misaada kwanini ziwepo nyingi moshi tu?



Usiwe na bias naona katika yote niliyoyaandika uliyoyaona yanaupungufu ni haya tu? kwa hiyo hayo mengine umejifunza? kama ndivyo basi hilo ndilo lengo langu.
Wewe JACK huduma ya Hosp ya Mwananyamala, muhimbili zinatofauti gani na MAWENZI HOSP tatizo la hospitali ya MAWENZI ni serikali ya MKWERE na sio kazi.... rejea maandishi mekundu hapo juu.











/

"kazi ya kichwa sio kubeba akili pekee bali ni vitu vingi ikiwamo utashi na werevu"
wewe ulijiuliza kwa nini mabasi ya kwenda moshi/ars ni mengi kuliko mikoa mengine/daladala za kisarawe/costa za moro.sina uhakika kama una idadi ya mabasi yanayoenda kila mkoa hiyo asubuhi,kama ni hivyo tupe idadi hapa!pia haimaanishi abiria wote wanaoshukia moshi(abt 700miles) ni wachaga,sioni kinachokushangaza kwani kama ni umbali basi ungekuwa na akili kama ungejaribu kujua idadi ya abiria wanaoenda mwanza(about 900miles+)(asubuhi) kwa ndege,treni na mabasi nadhani hapa ungewapa hata mke wasukuma.sidhani kama umetafiti ni kipindi gani cha mwaka mabasi hayo huwa mengi?
Kumbe hotel unazoziita 5* ni impala na Naura springs!!! Hapa sina cha kusema.
Nakuomba utembelee mawenzi hosp halafu ulinganishe na Bombo hosp(reg hosp) halafu KCMC na Muhimbili(ref hosp)utarekebisha usemi wako.
Kumbuka wakoloni(wazungu) walichagua maeneo yenye rutuba na kujiestablish,kueneza dini yao.ukiondoa pwani ambao walishakua waislamu sehemu kubwa ya bara walipokea vizuri dini na kufanya makanisa kuwa ktk hali hiyo ya sasa(sio moshi tu nenda karatu utakuta biblia ya ki-irak,ifakara,peramiho n.k).tembea uone.
"usiwe kama mtoto ukimwambia ndege ana mabawa basi hata akiona nzi atamuita ndege"
 
"kazi ya kichwa sio kubeba akili pekee bali ni vitu vingi ikiwamo utashi na werevu"
wewe ulijiuliza kwa nini mabasi ya kwenda moshi/ars ni mengi kuliko mikoa mengine/daladala za kisarawe/costa za moro.sina uhakika kama una idadi ya mabasi yanayoenda kila mkoa hiyo asubuhi,kama ni hivyo tupe idadi hapa!pia haimaanishi abiria wote wanaoshukia moshi(abt 700miles) ni wachaga,sioni kinachokushangaza kwani kama ni umbali basi ungekuwa na akili kama ungejaribu kujua idadi ya abiria wanaoenda mwanza(about 900miles+)(asubuhi) kwa ndege,treni na mabasi nadhani hapa ungewapa hata mke wasukuma.sidhani kama umetafiti ni kipindi gani cha mwaka mabasi hayo huwa mengi?

Jackbauer kazi ya kichwa ni kubeba akili, itakayokutambulisha kutafuna kuona kufikiri kuongea, je? makalio utayalingani sha na kichwa? kuna watu wata viungo nusu na kama watakosa kichwa tu ni kwa heri. Anachokwambia BARKMEI usibishe kwani bado mko miaka ya 90" leo hii hao wachagga wanatumia gari ndogo tu tena za watu 4 kama umbali huo ulioutaja mafuta yake ni 100,000/= kwanini upande basi la sh 25,000 au 30,000 kwa basi kati ya Mwanza - Moshi au Dodoma - Moshi Katika nchi hii ardhi ni mali ni makabila mangapi yanahama eneo kuwapisha wajenge na kumiliki ardi utasema tena ni wakoloni wamewafundisha kizazi cha sasa.
Ni mwaka gani toka vyama vya siasa viruhusu mfumo wa vyama vingi hajagombea Mchagga? ni Chama gani cha mpinzani hakina mchagga, acha tu kukianzisha
Ipo siku tutaamini mabadiliko hayo, kwani wachina wameshatapakaa maeneo yote kwa ujenzi kilimo na biashara na dada zao wanaolewa na wachagga
Nnachosema ni sawa na ule msemo wa Muasisi aliosema Mchagga au kabila la wahaya ,wanyakyusa hawatatawala, litatawala kabila dogo, muacheni mchagga akatafute malihata kama ni za wizi, nchi jirani, maana kabla ya mipaka 1884 walikuwa Kenya, lakini kupeana zawadi kwa Malkia Vitoria kwa kumegeana kidogo ziwa Nyanza na Mjerumani akampa Mlima Kilimanjaro, ndicho kilichowaweka macho wachagga kuwa siku yoyote watajikuta hawana nchi ndo maana wakakimbilia Mpwapwa Arusha, Songea nk kwa hiyo ni lazinma warudi kila Desemba kwenye makazi yao. Si kweli kuwa zile nyumba zao hazina wakaaji, zingeshavamiwa, mimi nimesoma huko na ni eneo lililokuwa la kwanza kupata TV likifuatiwa na Zanzibar ya rangi
 
JACK MIMI sijaona hoja hapa, kuhusu mabasi nineona umenielewa vizuri,

ubovu wa huduma za hospitali za mikoa na wilaya ni mbaya nchi nzima.
kwa bahati mbaya sana hiyo bombo unayosema ndiyo nimezaliwa pale, kumejaa kila aina ya uzembe na rushwa

hoteli wala sina uhakika na uelewa wako wa 5*
 
"kazi ya kichwa sio kubeba akili pekee bali ni vitu vingi ikiwamo utashi na werevu"
wewe ulijiuliza kwa nini mabasi ya kwenda moshi/ars ni mengi kuliko mikoa mengine/daladala za kisarawe/costa za moro.sina uhakika kama una idadi ya mabasi yanayoenda kila mkoa hiyo asubuhi,kama ni hivyo tupe idadi hapa!pia haimaanishi abiria wote wanaoshukia moshi(abt 700miles) ni wachaga,sioni kinachokushangaza kwani kama ni umbali basi ungekuwa na akili kama ungejaribu kujua idadi ya abiria wanaoenda mwanza(about 900miles+)(asubuhi) kwa ndege,treni na mabasi nadhani hapa ungewapa hata mke wasukuma.sidhani kama umetafiti ni kipindi gani cha mwaka mabasi hayo huwa mengi?

Jackbauer kazi ya kichwa ni kubeba akili, itakayokutambulisha kutafuna kuona kufikiri kuongea, je? makalio utayalingani sha na kichwa? kuna watu wata viungo nusu na kama watakosa kichwa tu ni kwa heri. Anachokwambia BARKMEI usibishe kwani bado mko miaka ya 90" leo hii hao wachagga wanatumia gari ndogo tu tena za watu 4 kama umbali huo ulioutaja mafuta yake ni 100,000/= kwanini upande basi la sh 25,000 au 30,000 kwa basi kati ya Mwanza - Moshi au Dodoma - Moshi Katika nchi hii ardhi ni mali ni makabila mangapi yanahama eneo kuwapisha wajenge na kumiliki ardi utasema tena ni wakoloni wamewafundisha kizazi cha sasa.
Ni mwaka gani toka vyama vya siasa viruhusu mfumo wa vyama vingi hajagombea Mchagga? ni Chama gani cha mpinzani hakina mchagga, acha tu kukianzisha
Ipo siku tutaamini mabadiliko hayo, kwani wachina wameshatapakaa maeneo yote kwa ujenzi kilimo na biashara na dada zao wanaolewa na wachagga
Nnachosema ni sawa na ule msemo wa Muasisi aliosema Mchagga au kabila la wahaya ,wanyakyusa hawatatawala, litatawala kabila dogo, muacheni mchagga akatafute malihata kama ni za wizi, nchi jirani, maana kabla ya mipaka 1884 walikuwa Kenya, lakini kupeana zawadi kwa Malkia Vitoria kwa kumegeana kidogo ziwa Nyanza na Mjerumani akampa Mlima Kilimanjaro, ndicho kilichowaweka macho wachagga kuwa siku yoyote watajikuta hawana nchi ndo maana wakakimbilia Mpwapwa Arusha, Songea nk kwa hiyo ni lazinma warudi kila Desemba kwenye makazi yao. Si kweli kuwa zile nyumba zao hazina wakaaji, zingeshavamiwa, mimi nimesoma huko na ni eneo lililokuwa la kwanza kupata TV likifuatiwa na Zanzibar ya rangi

mbona unarukia topic na kujichanganya,huweeleweki ukisema watu wako miaka ya 90,kiusafiri,kiuchumi au kielimu?
Kuhusu ardhi ni kabila gani limeondoka na kuwaachia ardhi wachaga?usije sema wazaramo kwani Dar imechukuliwa na makabila mengi kutoka bara,kariakoo imechukuliwa na mwarabu,muhindi na mpemba,nenda gonja huko upareni unionyeshe mchaga mwenye ardhi,tatizo lenu mna info za kusikia vijiweni tu.
Kwani ni chama gani cha upinzani hakina msukuma?hivi kuwa chama cha upinzani ndio maendeleo basi leo hii kule pemba sijui pangekua kama Hong kong.Hata hivyo vyama vya upinzani havikuanza 90s kama unavyohisi,vilianza kabla ya uhuru na wazaramo(waswahili)walikuwa wengi kwenye vyama hivyo na hatimaye vikaungana na kuleta uhuru,does this say hawa ni watu wa maendeleo?
Unaona siifa mchaga kumuoa mchina ee?nenda kilosa ukaone machotara wa kibongo na kihindi,nenda arusha uone morani wanavyokamua wazungu.nasikia kule zanzibar kuna ukoo wa sultan said said.yote haya hayaelezwi kuwa ni maendeleo.
Germans,japanese,chinese these guys are innovative(they sell knowledge) usiwalinganishe na wachagga wanaouza mitumba.afadhali ya mzaramo anayeuza vitumbua(huu ni ujuzi) na hiki ndicho kinachomfanya mkwere awe madarakani leo hii na sio mchaga
Hivi hiyo T.v ya kwanza huko moshi iliitwaje?
 
JACK MIMI sijaona hoja hapa, kuhusu mabasi nineona umenielewa vizuri,

ubovu wa huduma za hospitali za mikoa na wilaya ni mbaya nchi nzima.
kwa bahati mbaya sana hiyo bombo unayosema ndiyo nimezaliwa pale, kumejaa kila aina ya uzembe na rushwa

hoteli wala sina uhakika na uelewa wako wa 5*

inafurahisha unapokubali hali ni mbaya nchi nzima,huo ndio ukweli iwe uchagani au sumbawanga.
point ni kwamba zote ni hosp za mikoa na za serikali zenye maudhi yanayofanana bombo is far better kuliko mawenzi ambayo ni ya uchagani.
Hivi unazifahamu hotel ya impala na N-springs kama hizi ni 5* sijui moven pick itakua ya nyota ngapi?
 
nakubali wachaga ni watu wa maendeleo, lakini tatizo lao ni umimi wa kikabila, wao wanataka maendeleo kwa wao na kwa wachaga wenzao tu. Ila mchaga akiwa rais nadhani maendeleo yataonekana angalau kidogo kuliko watu wa pwani, yaani watajipendelea lakini watakumbuka na wengine, hawa watu wanajua kucheza na fulsa, pale mahali kabila lingine limeshindwa wao hufanikiwa, ni kama jews wa tanzania.
right
 
Mmakonde:

You are very cheap. Mambo anayofanya mchagga yalifanywa na wazungu zaidi ya miaka 1000 iliyopita. Sasa kwanini usitake wazungu tu wakutawale?

kwahiyo wewe kwako mzungu ni bora kuliko mwafrica?
you are the one who is cheap,tena nahisi you are "cost-less"
 
inafurahisha unapokubali hali ni mbaya nchi nzima,huo ndio ukweli iwe uchagani au sumbawanga.
point ni kwamba zote ni hosp za mikoa na za serikali zenye maudhi yanayofanana bombo is far better kuliko mawenzi ambayo ni ya uchagani.
Hivi unazifahamu hotel ya impala na N-springs kama hizi ni 5* sijui moven pick itakua ya nyota ngapi?


Nimeona nianze kukuuliza marahisi ili nipime IQ YAKO KWA % na mara baada ya kujibu nitakutumia uwezo wa kichwa chako kubeba akili.

wewe unaishi morogoro?
PARADISE ni 5* hotel
kubwa sana kubwa na ndogo. je kubwa ni sawasawa na ndogo?
mtihani -ukipata 30% ukawa wa kwanza na ukipata 80% ukawa wa mwisho ni % ipi itakupa changamoto?
 
Back
Top Bottom