Laini za bando

Laini za bando

majaliwa_richard

New Member
Joined
Sep 23, 2025
Posts
1
Reaction score
1
Jamni naombeni anayejua utaratibu wa namna ya kupata hii laini ya kununua bando za data kwa bei nafuu inayoruhusu kushare bando kwa watu wengine
Screenshot_20250919_132936_WhatsAppBusiness.png
 
Hiyo menyu haipo utakuja ibiwa mkuu
Ipo mkuu, ni line maalum inaitwa Corporate kama sijakosea ila kwa sasa hazitolewi tena labda anunue kwa mtu.
Kwasasa kuna line inaitwa Bussiness hiyo ukisajili ili uwe na uwezo wa kuanza kushare utapaswa uitumie kwa miezi mitatu kwanza ndo utapewa menu ya kushare. Ila ndani ya miezi hiyo mitatu utaweza kununua bundle za kutumia we mwenyewe na ni nafuu mno.
 
Ipo mkuu, ni line maalum inaitwa Corporate kama sijakosea ila kwa sasa hazitolewi tena labda anunue kwa mtu.
Kwasasa kuna line inaitwa Bussiness hiyo ukisajili ili uwe na uwezo wa kuanza kushare utapaswa uitumie kwa miezi mitatu kwanza ndo utapewa menu ya kushare. Ila ndani ya miezi hiyo mitatu utaweza kununua bundle za kutumia we mwenyewe na ni nafuu mno.
Mm nna laini ya halotel bando tu, naweze kuweka menye apa, hio yako haipo saiv.
 
Back
Top Bottom