Mfarisayomtata
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 474
- 188
Nipo Dar ni pm kama unahitaji nikuelekeze namna ya kuipata.
Bei laki nne.
Maelewano yapo.
Asante!
Bei laki nne.
Maelewano yapo.
Asante!
laki mbili nilitee hata dakika hii.
laki mbili nilitee hata dakika hii.
nipo dar...ni pm kama unahitaji nikuelekeze namna ya kuipata. bei laki nne. maelewano yapo. asante!!
Bosi dondosha phone no yako
laki mbili nilitee hata dakika hii.
Ipo ya M pesa kwa 250,000/=
lakini unaelewa maana ya MAELEWANO YAPO?? au umekurupuka tu kama ushuzi wa usiku?? mimi ata elfu hamsini nauza siuzii shida mkuu.
Hata mimi sielewi tofauti ya kununua kwa mtu na kununua kwenye ofisi za simu.nikielweshwa ilo nahitaji hiyo nitahitaji