Lady owned and operated Honda CRV RD1 Type for sale

PatPending

JF-Expert Member
Aug 17, 2007
491
102
Odometer at present: 88,436 km
Odometer when imported into Tanzania: 53,840 km
Imported from: Dubai, UAE
Date of reg: 01/08/2006
Year of Manufacture: 1997
Colour: White
Price: TSh. 12 mil OVNO
Seating Capacity: 5

Engine:
1998cc DOHC 16-valve 4-cylinder
Horsepower:124 HP, Torque: 133 lb-ft @ 4500 rpm










Genuinely interested parties can get in touch via PMs
 
Would a "lady" driven vehicle be in a better condition than if it would have been driven by a "gentleman"?
 
Let's be realistic... hii gari ni ya mwaka '97 (miaka 12 iliyopita). Isitoshe imeambaa km 34596 katika barabara za kibongo zilizojaa maandaki na madimbwi. Halafu eti price tag inasomeka TZS 12mil!! Kweli Bongo mambo mdundo tu.

Anyway, mimi niko interested na hicho kichwa cha treni kilichokuwepo kwenye background ya picha ya pili. Tuongee basi.....!!!
 
Mmmh wajameni, kweli bongo watu malimbukeni, a twelve years old car at this price, this is about 6000 pound sterling, in UK taking into consideration of current economical situation and stagmant car industry market you could get a Honda Crv at least ya mwaka 2006 ikiwa na vikolombwezo vyote vya electronics na kama unataka ku i ship bongo the maximum it will cost you will be 500 to 1000 pounds.

This prove one thing, the advantage of mtandao na mwenye macho haambiwi tazama.

Alamsiki.
 
Mmmh wajameni, kweli bongo watu malimbukeni, a twelve years old car at this price, this is about 6000 pound sterling, in UK taking into consideration of current economical situation and stagmant car industry market you could get a Honda Crv at least ya mwaka 2006 ikiwa na vikolombwezo vyote vya electronics na kama unataka ku i ship bongo the maximum it will cost you will be 500 to 1000 pounds.

This prove one thing, the advantage of mtandao na mwenye macho haambiwi tazama.

Alamsiki.

Brazaz and sistaz.... Anayetaka atam-PM muuzaji; ya uingereza na dar tofauti kabisa [hata hayo magari ya pound 2000 huku tunalipa milioni kumi], akikosa mteja atashusha bei mwenyewe
 
Watu bana.....! kama hupo interested sna hiyo business si ukae kimya ndugu acha kudiscourage wengine na kumharibia business mkuu! Eti Uk blablablaaaaa...hapa ni bongo.....hupo happy na gari no one forces you! bishara ni maelewano.....unaweza kuta anakuja kuiuza hata kwa 7,8,9mil ....bargaining power tu na yeye anataka kumaximize as well ...Lol!
 
Mmmh wajameni, kweli bongo watu malimbukeni, a twelve years old car at this price, this is about 6000 pound sterling, in UK taking into consideration of current economical situation and stagmant car industry market you could get a Honda Crv at least ya mwaka 2006 ikiwa na vikolombwezo vyote vya electronics na kama unataka ku i ship bongo the maximum it will cost you will be 500 to 1000 pounds.

This prove one thing, the advantage of mtandao na mwenye macho haambiwi tazama.

Alamsiki.

Tunashukuru kwa ulimbukeni wetu hapa Bongo, bt inaonesha uliondoka siku nyingi, kama sikosei enzi za kudandia meli! Inaonesha U dont even know what is happening in Tanzania in terms of tax payment, registration fees, and other associated charges, leaving apart the freight and demurage charges!

Inawezekana uki-import direct bei ikawa chini, bt this is already there! There is a time constraint, inconviniences etc before the car becomes yours!

Nevertless, kuna watu wanaitwa COTECNA-TISCAN, hawa hawana cha msalia mtume. Utaonesha docs zote kwa umenunua CRV ya mwaka 2006 kwa pound 6,000, but their tax estimate will base of what's that car market price!

Hivi vyote mzee wa UK huvipigii hesabu??

Acha kudiscourage watu bwana, na wewe fanya hima uje usalimie nyumbani japo ujue what's going on the ground, ntakusaidia wasikubanie visa renewal!
 
Tunashukuru kwa ulimbukeni wetu hapa Bongo, bt inaonesha uliondoka siku nyingi, kama sikosei enzi za kudandia meli! Inaonesha U dont even know what is happening in Tanzania in terms of tax payment, registration fees, and other associated charges, leaving apart the freight and demurage charges!

Inawezekana uki-import direct bei ikawa chini, bt this is already there! There is a time constraint, inconviniences etc before the car becomes yours!

Nevertless, kuna watu wanaitwa COTECNA-TISCAN, hawa hawana cha msalia mtume. Utaonesha docs zote kwa umenunua CRV ya mwaka 2006 kwa pound 6,000, but their tax estimate will base of what's that car market price!

Hivi vyote mzee wa UK huvipigii hesabu??

Acha kudiscourage watu bwana, na wewe fanya hima uje usalimie nyumbani japo ujue what's going on the ground, ntakusaidia wasikubanie visa renewal!

Entrepreneur lazima huyo jamaa akushukuru kwa shule uliyo mpa aisee! Hao washikaji wamezamia huko majuu miaka nenda rudi hawarudi hata kuwapa hi ndugu zao na kujua wht is happening now on the ground...madhara yake ndo hayo ya kuwa na picha za mwaka 47 vichwani...na wakija rudi home wanashangaa sana!

Kifupi suala linalofanya magari yawe expensive bongo ni kodi....Import duty 25% of CIF value+ 5% or 10% excise duty *(CIF + Import duty) value+20% *(CIF+Import duty+excise duty) value na kama gari lako ni la zaidi ya 10 years...basi jumlisha 20%*(CIF+Import duty+excise duty+VAT)!

So ukiangalia hapo utakuta kodi ya magari ni kati ya 50% na 75% ya CIF value! Sasa kwa kuwa calculation ya kodi moja inafanyika baada ya kujumlisa kodi nyingine, ina maana effetively gharama za kulipa baada ya CIF Value zinaweza kuwa up to 100% yaani mara mbili ya gharama ya kununulia!

Hapo bado hujasajili, insurance etc....halafu mtu analeta story za mamtoni hapa!
 
Hii kitu Mj1 vp itakufaa? Maana foleni siku hizi zimezidi ukisimama toka Posta mpaka Mbagala miguu itaota sugu.
 
Entrepreneur lazima huyo jamaa akushukuru kwa shule uliyo mpa aisee! Hao washikaji wamezamia huko majuu miaka nenda rudi hawarudi hata kuwapa hi ndugu zao na kujua wht is happening now on the ground...madhara yake ndo hayo ya kuwa na picha za mwaka 47 vichwani...na wakija rudi home wanashangaa sana!

Kifupi suala linalofanya magari yawe expensive bongo ni kodi....Import duty 25% of CIF value+ 5% or 10% excise duty *(CIF + Import duty) value+20% *(CIF+Import duty+excise duty) value na kama gari lako ni la zaidi ya 10 years...basi jumlisha 20%*(CIF+Import duty+excise duty+VAT)!

So ukiangalia hapo utakuta kodi ya magari ni kati ya 50% na 75% ya CIF value! Sasa kwa kuwa calculation ya kodi moja inafanyika baada ya kujumlisa kodi nyingine, ina maana effetively gharama za kulipa baada ya CIF Value zinaweza kuwa up to 100% yaani mara mbili ya gharama ya kununulia!

Hapo bado hujasajili, insurance etc....halafu mtu analeta story za mamtoni hapa!

Bravo Mkuu NL, nashukuru umenikumbusha suala la insurance. Ila kuna sula la risk pia. Magari mengi yanayotoka UK ni ya upigaji kwani tumeona watu wanaendesha Vogue na X5 kwa kulipia doal 10,000. Sasa why should I take that risk while this car is already registered, and better sill, doing due diligence is much easier!
 
Hii kitu Mj1 vp itakufaa? Maana foleni siku hizi zimezidi ukisimama toka Posta mpaka Mbagala miguu itaota sugu.

Kaka.......kwa mapozi na upedeje....nakubali...ndo maana kule kny ''mtandao'' huwa unaingia kirahisi!.....ha!ha!ha!....! kweli 70k za kuretouch was immaterial kaka....MJ1 unataka ummalize kwa Honda CRV? unatisha bro!
 
bado kabisa tz magari yanauzwa ghali unafunga mkanda unalipa kpdi kibao,halafu wanatokea watu tu wanaila hela yako, sasa hatuoni sisi ni washamba bado?kodo zote hizo kwa faida ya nani? so watawala bado wanabeba lawama, kwani japo kodi ni kubwa kuliko maelezo but haionekani inakokwenda, ndo kuliia hse 10M, 200M+ FURNITURE EEH KM KWELI. so hatuna ili munkari ya kususa tunachotakiwa kufanya japo kwa mda, so TISCAN ina faida gani pale? why TRA wasitoe hiyo huduma kwa hizo duty zote tunazoipia? ushenzi mtupu tz. ahaa CRV ya 96 kwa 12M?? baado sana mazee, gari yenyewe honda/ bora ingekuwa toyota!!
 
bado kabisa tz magari yanauzwa ghali unafunga mkanda unalipa kpdi kibao,halafu wanatokea watu tu wanaila hela yako, sasa hatuoni sisi ni washamba bado?kodo zote hizo kwa faida ya nani? so watawala bado wanabeba lawama, kwani japo kodi ni kubwa kuliko maelezo but haionekani inakokwenda, ndo kuliia hse 10M, 200M+ FURNITURE EEH KM KWELI. so hatuna ili munkari ya kususa tunachotakiwa kufanya japo kwa mda, so TISCAN ina faida gani pale? why TRA wasitoe hiyo huduma kwa hizo duty zote tunazoipia? ushenzi mtupu tz. ahaa CRV ya 96 kwa 12M?? baado sana mazee, gari yenyewe honda/ bora ingekuwa toyota!!

Habari ya wapi mkuu, UK or USA?
 
Kaka.......kwa mapozi na upedeje....nakubali...ndo maana kule kny ''mtandao'' huwa unaingia kirahisi!.....ha!ha!ha!....! kweli 70k za kuretouch was immaterial kaka....MJ1 unataka ummalize kwa Honda CRV? unatisha bro!

Hahahaha Kaka hivi ni vijimambo tu usishangae usione hatari ni vijimambo tu MJ1 kachoka kupanda daladala lazima nae awe kwenye kiyoyozi bana.
 
Entrepreneur lazima huyo jamaa akushukuru kwa shule uliyo mpa aisee! Hao washikaji wamezamia huko majuu miaka nenda rudi hawarudi hata kuwapa hi ndugu zao na kujua wht is happening now on the ground...madhara yake ndo hayo ya kuwa na picha za mwaka 47 vichwani...na wakija rudi home wanashangaa sana!

Kifupi suala linalofanya magari yawe expensive bongo ni kodi....Import duty 25% of CIF value+ 5% or 10% excise duty *(CIF + Import duty) value+20% *(CIF+Import duty+excise duty) value na kama gari lako ni la zaidi ya 10 years...basi jumlisha 20%*(CIF+Import duty+excise duty+VAT)!

So ukiangalia hapo utakuta kodi ya magari ni kati ya 50% na 75% ya CIF value! Sasa kwa kuwa calculation ya kodi moja inafanyika baada ya kujumlisa kodi nyingine, ina maana effetively gharama za kulipa baada ya CIF Value zinaweza kuwa up to 100% yaani mara mbili ya gharama ya kununulia!

Hapo bado hujasajili, insurance etc....halafu mtu analeta story za mamtoni hapa!

gari kama hilo uk la mwaka 1997 ni £1,000 ambayo ni sawa na 2,000,000 za kibongo
kwa mahesabu ya tra

Dear next level

If CIF Value is TShs 2000000

And if Storage Exeeded normal 7 uncharged days by: 2 Days
Import Duty is TShs. 500000
Port Fee is TShs. 260000
Shipping line is TShs. 148000
Storage is TShs. 56000 (nimeweka storage ya siku 2)
Other Charges is TShs. 67361

Total Cost for Vehicles Inclusive CIF Price

Total Cost where by Year of Manufacturing is 10 years and above from this Year
Vehicles with CC Less than 1000 is TShs. 4071361
Vehicles with CC btn 1000 to 2000 is TShs. 4218861 ya kwetu ndio hii
Vehicles with CC more than 2000 is TShs. 4366361

ukiweka na bei ya kusafirisha ya £800 ambayo ni sawa 1,600,000

jumla 4,218,861 + 1,600,000 = 5,818,861

kutoka 5,818,861 mpaka 12,000,000 kweli bongo magari bei rahisi

ukitaka hata wewe unaweza kupiga mahesabu kutumia calculator ya tra kwa ku click hapa

nia iwe ni kubadilishana mawazo baina ya wa TZ waliokuwa sehemu mbalimbali na sio kubishana nani zaidi

weekend njema
 
Back
Top Bottom