hizi habari zimezagaa if it is true CONGRATULATION MUMY umewakata ulimi wenye kiherehere; i am so proud of you; utakuwa role model kwa wanawake wengi wa kitanzania wanaonyanyasika kwenye ndoa na jamii kwa kuitwa wagumba na majina yasiyofaa. gooooooo komando GOD BLESS YOU ALWAYS! MWACHENI MUNGU AITWE MUNGU
Sasa hapo kakashifu nini??sikasema uhalisia au??Ma' great thinker wa siku hizi ni uharo mtupu. Sasa wewe kukojoa amechuchumaa ndiyo kitu gani? Acha kashfa zisizo za msingi.
ukisema katoka nje ya ndoa unakosea sana kwan gadner hana uwezo wa kuzaa mbona ye anae mtoto wa mkewe wa kwanza,hakuna kinachoshindikana chini ya jua wewe hata kwa uchawiAtakuwa ametoka nje ya ndoa tu huyo.
hizi habari zimezagaa if it is true CONGRATULATION MUMY umewakata ulimi wenye kiherehere; i am so proud of you; utakuwa role model kwa wanawake wengi wa kitanzania wanaonyanyasika kwenye ndoa na jamii kwa kuitwa wagumba na majina yasiyofaa. gooooooo komando GOD BLESS YOU ALWAYS! MWACHENI MUNGU AITWE MUNGU
source please!
true!! Hakuna cha tetezi zaidi ya umbea wa vijiwe vya kahawa!!haka kamtindo ka utetesi tetesi kangefutwa naona
thethethet!mwananyamala hosp, attention p/se
Atakuwa ametoka nje ya ndoa tu huyo.
Mna uhakika kuwa hawezi kuzaa?? Acheni kuongelea habari za watu bwana ambazo hazina ukweli!
source please!
Kila la kheri.tumbo lake JD
hizi habari zimezagaa if it is true CONGRATULATION MUMY umewakata ulimi wenye kiherehere; i am so proud of you; utakuwa role model kwa wanawake wengi wa kitanzania wanaonyanyasika kwenye ndoa na jamii kwa kuitwa wagumba na majina yasiyofaa. gooooooo komando GOD BLESS YOU ALWAYS! MWACHENI MUNGU AITWE MUNGU
ukisema katoka nje ya ndoa unakosea sana kwan gadner hana uwezo wa kuzaa mbona ye anae mtoto wa mkewe wa kwanza,hakuna kinachoshindikana chini ya jua wewe hata kwa uchawi