Well said mkuu, wanasema " if the first idea is not absurb there is no hope for it"
Wengi tumezoea idea zilezile, unapokuja na idea flani tofauti kila mtu anakuona kituko. Itafika siku jide atakuwa amefungua njia kwa jamii kuUngumza matatizo yetu ambayo yanagusa pia sehemu nyingine ya jamii ambayo ni voiceless.