Spice girls
Member
- Jul 2, 2017
- 26
- 35
Hivi hizi tetesi za lady jaydee kuimwaga label yake ni za kweli?
Inavyosemekana mkataba umeishaHivi hizi tetesi za lady jaydee kuimwaga label yake ni za kweli?
Tetesi umesikia wapiHivi hizi tetesi za lady jaydee kuimwaga label yake ni za kweli?
Tetesi hizo si za kweli..Seven na Jide ni zaidi ya umeneja!Hivi hizi tetesi za lady jaydee kuimwaga label yake ni za kweli?
Hiyo label ahamie kwenye mchiriku ndio itafanikiwa,mziki wa biashara hawawezi wamebaki na yooooo